Rich anaweza nje ya hapo namkubali.
Am wait for that
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Spartacus fala kinoma, hapo nyuma sikuwahi fikiria we ni shabiki ndakindaki wa WCB katika upande wa haters (kumbuka ili ufanikiwe zaidi unahitaji maadui wa kutosha)
Sasa tamko la Mavoko, Robidinyo taarifa kaitolea kwenye page ya wasafi, hapo ndo unabaki kushangaa, kwanini asingetolea sehemu nyingine km kwa kina Sammisago na Millard mpaka iwe wasafi?
Hapo ndo unapoamua kuwauliza WAJUMBE nao wanakwambia TUPO PAMOJA
Labda kurudi Tanga akalime[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Baada ya Kimya cha Muda mrefu, hatimaye Mkali wa Muziki wa Bongo Fleva richmavoko amerudi na taarifa Kubwa na nzuri kwa mashabiki Zake, baada ya kutangaza kuachia #MiniTape yake Tar 7 mwezi huu
Kupitia Ukurasa wake wa Instagram Bilionea Kid richmavoko ameshare taarifa Hiyo Njema kwa mashabiki na Wapenzi wa muziki ambao walikua wamemiss Radha yake kwa muda mrefu, Kuwa muda si mrefu wategemee balaa kubwa kutoka kwake.
Katika Ujumbe huo , Mavoko ameandika “Marafiki zangu mmekua mkinipa ushirikiano na mpaka sasa Najua mnaendelea kufanya ivyo, Mziki ni kitu ninachokipenda na ninaishi nao “
Msie Mpenda kaja
View attachment 1527540
Anazidiwa na rayvanny ndo atutoe mapovu WBC...!!!???Bora arudi maana harmo pekee aliwatoa povu sana timu roho kwanini
🤣🤣🤣🤣🤣Hata juma nature na mh temba wanarudi
Mleta uzi kwanza marinda unayo tuanzie hapoBaada ya Kimya cha Muda mrefu, hatimaye Mkali wa Muziki wa Bongo Fleva richmavoko amerudi na taarifa Kubwa na nzuri kwa mashabiki Zake, baada ya kutangaza kuachia #MiniTape yake Tar 7 mwezi huu
Kupitia Ukurasa wake wa Instagram Bilionea Kid richmavoko ameshare taarifa Hiyo Njema kwa mashabiki na Wapenzi wa muziki ambao walikua wamemiss Radha yake kwa muda mrefu, Kuwa muda si mrefu wategemee balaa kubwa kutoka kwake.
Katika Ujumbe huo , Mavoko ameandika “Marafiki zangu mmekua mkinipa ushirikiano na mpaka sasa Najua mnaendelea kufanya ivyo, Mziki ni kitu ninachokipenda na ninaishi nao “
Msie Mpenda kaja
View attachment 1527540
😂😂😂😂😂Mleta uzi kwanza marinda unayo tuanzie hapo