Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda

Mmeishia wapi na hizi mbanga zenu mpaka Sasa?
Maslahi yenu kisiasa sio maslahi ya taifa kamwe wapuuzi wahed nyie
Baada ya kukiuka yaani kutoandika katiba hapo 2022,huoni watu wakubwa wakidondoka consecutively!!?na wengine tetesi za kuugua!!?

Na aliepewa maelekezo huoni atashindwa kugombea coz hatogombea japo anajitahidi kuji promote lakini hatogombea!!?

Nadhani Ile shughuli iliisha Anza na matokeo ndio hayo!we huoni!!?
 
Mbona kasha jiandaa vema na form ni moja.Hii vita bado mbichi sana ngoja 2025 tuone.
 
Mbona kasha jiandaa vema na form ni moja.Hii vita bado mbichi sana ngoja 2025 tuone.
Tatizo sio fomu,Tatizo ni misuko suko atakayoipata kabla ya kupewa fomu!!

Kuna kelele nyingi sana zinaendelea humu kwenye kampuni,we huoni Kuna tetesi za kutaka kuzima internet!!?
Kabla ya October 2025 sarakasi bado nyingi!!hao wanaomdanganya fomu ni Moja ndio wanaomharibia kabisa!!
Ni Bora angesema mchakato wa fomu ziwe nyingi halafu afanye lobbying Kwa watakaochukua fomu kipindi hicho!!

Yaani fomu ikiwa moja mwaka mmoja kabla maana yake wanamchosha kwa kupambana na adui asie onekana!!!

Hao jamaa wanaomdanganya hao ndio initiator wa mvurugano ndani ya kijani!!
 
Siamini kama ni hivi. HILI NALO MKALITAZAME!!

Hao wanaojiitaga DEEP STATE naamini wameshapanga na kuamua nani awe Rais wa Tanganyika 2025 and beyond.

Hawa DEEP STATE huwa hawachezi au kuchezesha kamari. They act with CERTAINTY.

Kabla mpira haujaanza wao wameshafunga magoli na kujua nani ni mshindi.

Watu wanaocheza au kuchezeshwa kamari za kisiasa ni wale manyumbu wafuasi wafuata upepo a.k.a MAKADA / CADRE 😂

I am of a settled knowledge that the DEEP STATE play their games with absolute CERTAINTY and precise MATHEMATICS.

Huku chini MAKADA ndio wanararuana.
 
Nimekuja haraka kwenye Uzi nikajua tayari operation imepewa go-ahead maana 2025 is loading.......
 
Je mangapi kati ya haya uliyoyaandika hapa yamefanyiwa kazi?
 
Vipi kuna lililotekelezwa hapa?
 
Eti mmeishia wapi wakuu?
 
Nimeisoma coment mara mbili mbili,tuseme hiyo too late ndio imeleta Uzi wa "usaliti wa jemadari wa marekani"uliofutwa hapa jf!!?

Tuseme hizo Rip za hivi karibuni ndio muendelezo was mpango wenyewe wa "kuwashughulikia na hawatakuwepo!!? Too late beyond mwakani ,yaani kipindi hicho 2021 Hadi 2022 Sasa ni 2024 je mmechelewa kwani!!?

Najaribu kuwazua mambo haya!!
 
Eti mmeishia wapi wakuu?
Alishaandika mbona "original plan in and out" operation code PJLK , we huoni kwani!!?kwasasa White House imekimbiwa kama kipindi kile!!?

Yale Yale ya kina madeluu kuapishiwa chato ndio haya ya sasa!hujasoma kwani!!?picha kama lile lile SEMA waigizaji tofauti!!

Hebu soma trend huko India inaomekana Kuna mzena ya Bongo ni kama karakana kuu ya hizi mishe!!

Tuwaze na kuwazua !!!
 
Bado naendelea kusema, ikiwa huyu ni mwana usalama, basi tuna safari ndefu kama nchi...

Sasa hivi wametulia sio kwasababu wananchi wanapata haki zao, ila ni kwasababu maslahi yao yako guaranteed.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…