Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda

Yule dingi alikuwa ni nduli professional
 
Tumia akili Oya mkuu huu uteuzi wa makamu wa rais kuwa Dr. Mpango. Je ndo sababu ya operation kusitishwa , mana nae aliponea chupu chupu. Je kwa uteuzi huu tunaenda Kama ulivyo ongea hapo juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
@Tumia akili kasema operation imesitishwa sababu kuna terms amepewa azitekeleze bila kupangiwa nani aingie na asiingie kwanye utawala wake. Wao wanataka tu utekelezaji na asipotekeleza mpango wao unaendelea ila ni kwa maslahi mapana ya taifa na si uroho wa madaraka.
 
Wabongo bana. Unaandika as if huyo unae kuandikia alikuwa Ubelgiji wakati haya yanatendeka. Huku ni kujikosesha amani ya moyo. Panua ubongo.
 
Mkuu 'theState' ina wajibu juu ya taifa tu. Haina 'feelings' towards or against any individual. We are only loyal to the nation.

Pia taasisi hii tangu kuasisiwa kwake haijihusishi na vitendo vya mauaji au kuleta maumivu kwa watu.
Makundi ya uasi,uovu na yale ya kigaidi Duniani kote hujinasibu na kutetea maslahi ya wanyonge au Taifa kwa kutofuata Sheria na katiba za nchi husika.Mwisho wa siku hufuata mkondo wa uhalifu. Vivyo hivyo kwa madikteta. Hamna tofauti na hayati. Taasisi yoyote inayojiendesha gizani bila kutambulika kisheria pia ni wahalifu.
 
Nimesoma mkuu hiyo post Magufuli alikuwa mgonjwa wa moyo zamani, na huyu alikuwa anafahamu. So obviously alikuwa na information za ndani juu ya Hali tete ya Rais alitumia kupredict his end.
Acha ubishi mkuu!ubishi huua😟😟
 
Nishanunua popcorn hapa na kuvaa miwani black nafatilia movie@ kwa udhamini wa kijana wangu wa Chogo level II
 
Je unaona mwendo ni mzur had wakat huu?
 
Mkuu 'theState' ina wajibu juu ya taifa tu. Haina 'feelings' towards or against any individual. We are only loyal to the nation.

Pia taasisi hii tangu kuasisiwa kwake haijihusishi na vitendo vya mauaji au kuleta maumivu kwa watu.
Mna maoni gani kuhusu bandari ya bagamoyo?
 
Kituo cha utalii Ikulu
I agree

tujifunze kwa Wamarekani.,White House kuna sehemu za kutalii.,
Ni fursa ya kupata pesa hapo..
 
King Kong III utabisha na hapa tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…