Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Taarifa ya kigogo huyu kafa kwa kapigwa mshale wa takoMakamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Isdory Mpango amekutana na Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa Diwani Athumani Msuya na kumpa pole kufuatia kifo cha Kakaye aitwaye Bisward Msuya
View attachment 1879986
Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Isdory Mpango amekutana na Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa Diwani Athumani Msuya na kumpa pole kufuatia kifo cha Kakaye aitwaye Bisward Msuya
View attachment 1879986
Taarifa ya kigogo huyu kafa kwa kapigwa mshale wa tako
Emu funguka BossTaarifa ya kigogo huyu kafa kwa kapigwa mshale wa tako
woyiTaarifa ya kigogo huyu kafa kwa kapigwa mshale wa tako
Itakuwa wanafundishana adabu kimya kimya.Kawafanyaje hadi wamtende hivyo
Ohoo kumbe?Nasikia alitandikwa mishale ya hela yote
Anashushia na alkasusu
Mkuu hujaona movie ya Van Dame Chipupute ๐ ๐ ๐ , mshale ukikupata sehemu mbaya na ukakosa huduma haraka unazikwaMaajabu haya
Mishale mpaka mtu anakufa๐ณ๐ณ๐ณ
Inaelekea wataalam hao wametumia hiyo ngumu kupata ushahidi
Mishale huwa ina sumu! Na sumu yake ukigongwa huchukui hata dakika 10!Mkuu hujaona movie ya Van Dame Chipupute ๐ ๐ ๐ , mshale ukikupata sehemu mbaya na ukakosa huduma haraka unazikwa