DOKEZO Taarifa tunazoandika kwenye Madaftari ya Lodge, Hotel au Ofisi zinatumiwa na kutunzwa vipi?

DOKEZO Taarifa tunazoandika kwenye Madaftari ya Lodge, Hotel au Ofisi zinatumiwa na kutunzwa vipi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

w0rM

Member
Joined
May 3, 2011
Posts
81
Reaction score
192
Katika miaka ya hivi karibuni, Ulinzi wa Taarifa Binafsi ni muhimu sana maana taarifa za mtu zinaweza kutumika vibaya muda wowote bila ya muhusika kujua.

Leo nimewaza sana zile Hotel, Lodge, au Guest ambazo tunaenda na kuambiwa tuandike taarifa zetu kwenye daftari Mapokezi. Hivi zile taarifa huwa wanazilinda vipi na wanakaa nazo kwa muda gani? Unaweza kukuta tunajiuliza wale wezi wa "Tuma kwenye Namba hii" wanatoa wapi fedha kumbe wanatoa kwenye sehemu kama hizi.

Pale watu wanaacha namba za simu, majina halisi maana kuna sehemu wanataka kabisa utoe na kitambulisho cha NIDA. Hizi ni taarifa muhimu sana.

Ukiachana na hizi Lodge au Hotel pia kuna zile Ofisi huwa tunaingia na kutakiwa kuandika taarifa zetu hivyo hivyo kwa kweli najiuliza sana utunzaji wa taarifa zetu na matumizi yake baada ya hapo.

Swali jingine la kujiuliza ni kuwa daftari likijaa utunzaji wake unakuwaje? Je, wanafuata sheria inavyosema au inakuaje? Hili ni janga sana kwa kweli.

Mamlaka itusaidie kusimamia jambo na kuweka misingi muhimu.
 
Katika miaka ya hivi karibuni, Ulinzi wa Taarifa Binafsi ni muhimu sana maana taarifa za mtu zinaweza kutumika vibaya muda wowote bila ya muhusika kujua.

Leo nimewaza sana zile Hotel, Lodge, au Guest ambazo tunaenda na kuambiwa tuandike taarifa zetu kwenye daftari Mapokezi. Hivi zile taarifa huwa wanazilinda vipi na wanakaa nazo kwa muda gani? Unaweza kukuta tunajiuliza wale wezi wa "Tuma kwenye Namba hii" wanatoa wapi fedha kumbe wanatoa kwenye sehemu kama hizi.

Pale watu wanaacha namba za simu, majina halisi maana kuna sehemu wanataka kabisa utoe na kitambulisho cha NIDA. Hizi ni taarifa muhimu sana.

Ukiachana na hizi Lodge au Hotel pia kuna zile Ofisi huwa tunaingia na kutakiwa kuandika taarifa zetu hivyo hivyo kwa kweli najiuliza sana utunzaji wa taarifa zetu na matumizi yake baada ya hapo.

Swali jingine la kujiuliza ni kuwa daftari likijaa utunzaji wake unakuwaje? Je, wanafuata sheria inavyosema au inakuaje? Hili ni janga sana kwa kweli.

Mamlaka itusaidie kusimamia jambo na kuweka misingi muhimu.
Point
 
Shoga angu anafanya kazi kwenye lodge moja siku nikasema nikamtembelee mie Tena nikasogeza lile daftar la majina ya wateja [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Kila mtu ni usalama Kila mtu yupo kitengo serikalini khaaa nilicheka nahisi waliopo ndan walinisikia

Namba za simu wengine mnaandika za uongo majina ndo usiseme[emoji3] mpunguzege na kelele mkiwa huko ndan mnakera masikio yetu [emoji23][emoji41]
 
Yanatumika katika takwimu ya kuagizia ARvs.

halafu unaanzaje kuandika jina lako la kweli.

Ila siku ikitokea lodge yeyote imewaka moto na wakaokoa kitabu na moja ya jina la waliokuwemo likawa Jecha Juma Jecha, basi mjue ndio mimi. Hilo ndio jina langu la ubatizo wa lodge na guest.
 
Katika miaka ya hivi karibuni, Ulinzi wa Taarifa Binafsi ni muhimu sana maana taarifa za mtu zinaweza kutumika vibaya muda wowote bila ya muhusika kujua.

Leo nimewaza sana zile Hotel, Lodge, au Guest ambazo tunaenda na kuambiwa tuandike taarifa zetu kwenye daftari Mapokezi. Hivi zile taarifa huwa wanazilinda vipi na wanakaa nazo kwa muda gani? Unaweza kukuta tunajiuliza wale wezi wa "Tuma kwenye Namba hii" wanatoa wapi fedha kumbe wanatoa kwenye sehemu kama hizi.

Pale watu wanaacha namba za simu, majina halisi maana kuna sehemu wanataka kabisa utoe na kitambulisho cha NIDA. Hizi ni taarifa muhimu sana.

Ukiachana na hizi Lodge au Hotel pia kuna zile Ofisi huwa tunaingia na kutakiwa kuandika taarifa zetu hivyo hivyo kwa kweli najiuliza sana utunzaji wa taarifa zetu na matumizi yake baada ya hapo.

Swali jingine la kujiuliza ni kuwa daftari likijaa utunzaji wake unakuwaje? Je, wanafuata sheria inavyosema au inakuaje? Hili ni janga sana kwa kweli.

Mamlaka itusaidie kusimamia jambo na kuweka misingi muhimu.
Tengeneza kitambulisho 'feki' cha kutumia sehemu kama hizo ulizozitaja.
 
Baadhi ya nchi hizo taarifa huchukuliwa na police au serikli...

Na ni lzm uwe na ID ya taifa ndio ulale Lodge huku kwetu ni kudanganya tu
 
Kuna baadhi ya hoteli, taarifa zako zinaandikwa kwenye risiti na kupewa kadi ya mlango; nadhani hawa kwenye kutunza taarifa za mteja wako vizuri.
Hawa wengine wa kuandika kwenye vitabu, nashauri kuwepo na utaratibu wa kuteketeza kile kitabu, kila baada ya siku 90 tangu kutumika.​
 
Hakuna taarifa zozote za mtu yeyeto ukizitaka uzikose labda uishi nje ya mitandao taarifa huwa ni siri kama watu hawana shida na wewe
 
Namba au taarifa ya mtu yeyeto ukiitaka unaipata na sio lazima akupe yeye
 
Katika miaka ya hivi karibuni, Ulinzi wa Taarifa Binafsi ni muhimu sana maana taarifa za mtu zinaweza kutumika vibaya muda wowote bila ya muhusika kujua.

Leo nimewaza sana zile Hotel, Lodge, au Guest ambazo tunaenda na kuambiwa tuandike taarifa zetu kwenye daftari Mapokezi. Hivi zile taarifa huwa wanazilinda vipi na wanakaa nazo kwa muda gani? Unaweza kukuta tunajiuliza wale wezi wa "Tuma kwenye Namba hii" wanatoa wapi fedha kumbe wanatoa kwenye sehemu kama hizi.

Pale watu wanaacha namba za simu, majina halisi maana kuna sehemu wanataka kabisa utoe na kitambulisho cha NIDA. Hizi ni taarifa muhimu sana.

Ukiachana na hizi Lodge au Hotel pia kuna zile Ofisi huwa tunaingia na kutakiwa kuandika taarifa zetu hivyo hivyo kwa kweli najiuliza sana utunzaji wa taarifa zetu na matumizi yake baada ya hapo.

Swali jingine la kujiuliza ni kuwa daftari likijaa utunzaji wake unakuwaje? Je, wanafuata sheria inavyosema au inakuaje? Hili ni janga sana kwa kweli.

Mamlaka itusaidie kusimamia jambo na kuweka misingi muhimu.
1. Kuna Faida na Hasara zake za kuweka taarifa zako sahihi na halisia kwenye hivyo vitabu vya Usajili wa Wageni kwenye nyumba za kulala Wageni.
2. Pia kuna Faida na hasara za kujaza taarifa za uwongo kwenye hivyo Vitabu vya Wageni.
3. Wingi wa Faida au Hasara kutegemea na sababu au factors mbalimbali kulingana na Hali ya Siasa, utamaduni, demokrasia, au hali ya Utawala wa nchi jinsi ulivyo sambamba na status ya mgeni mwenyewe ambaye atalala kwenye hiyo nyumba ya Wageni.

4. Uzoefu binafsi kutoka nchini Urusi:
Mawakala wengi sana wa Idara ya Ujasusi ya nchi hiyo ya KGB/FSB wamewapandikiza Mamluki wengi sana Kwenye nyumba nyingi za kulala Wageni zilizopo katika nchi hiyo. Kazi yao kubwa ni kuwa-spot Watu wao wanaowalenga na kisha kuwafanyia mashambulizi mbalimbali, tena kwa kutumia mbinu kali Sana za kitaalamu kwa njia za kijasusi. Mashambulizi ya namna hiyo mara nyingi Sana huwa yanafanyika usiku, wenyewe wanayaita "Operation Midnights."
Asubuhi kunapokucha Jeshi la Polisi huwa linakuwa na kazi ya kukusanya maiti za Watu waliofia huko Guest, Lodge au hotelini kutokana na operations hizo za usiku.

Ni jambo la kawaida kabisa kuona kwamba Mtu amekufa akiwa Lodge nchini Urusi. Na hali hii pia ipo katika nchi zingine nyingi sana hapa duniani, hususani kwenye zile nchi zenye tawala za mrengo wa kikomunisti/Ujamaa.

Mtakumbuka kwamba hata hapa Tanzania, Dkt. Wilbrod Slaa wakati fulani aliwahi kuwekewa Vinasa sauti kwenye chumba chake cha Hoteli kule Dodoma. Akili kichwani mwenu!
 
Ilitakiwa vitabu hivi vitolewe na Halmashauri na viwe na namba., nje kiwe na taarifa ya hiyo guest, hotel au lodge. Kikijaa unarudisha halmashauri ndo upewe kingine. Hii itasaidia kutunza taarifa za watu lakini pia itawasaidia vyombo vya dola kufatilia kwa uraisi ikiwa kama kuna tatizo limetokea.
Liwekwe angalizo pia la watu kutoa taarifa sahihi.
 
Back
Top Bottom