Taarifa ya ajali ya Dovutwa

Kirchhoff

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
5,735
Reaction score
8,541
Wakuu nimemsikia ndugu Dovutwa kapata ajali baada ya Dereva wake kujiaribu kumkwepa mwanabodaboda mmoja aliyekuwa anajilowassisha. Tuwaombee wagombea Urais.
 
Huyu Dovutwa Ndie Siku ya Kufunga Campaign Uwa Anasema Kura zake Wampe Mgombea Wa CCM. So leo Hajaenda Kufunga Campaign?
 
Uwiiii Mungu apitishie mbali tupige kura kesho
 
Alitaka kwenda mvomero kufungia huko, tokana na ajali ilompata. Jamaa yangu wa karibu amecheka saaana ase, ati alivyokuwa ameshika kiuno akiugulia maumivu. Nimemwambia si vyema kumcheka.
 
Ndiyo maana lowasa amewah kuondoka!
 
Na Kama vile nimemsikia analaum msafara wa Laigwanan eti ndo umemsababishia ajali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…