Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmesoma maneno hayo "au kutoa taarifa za moja kwa moja(Live updates) wakati mchezo unaendelea...."Shirikisho la mpira wa miguu Afrika (CAF) ndo wenye haki ya matangazo ya Radio kwa hatua ya makundi na hatua ya mtoano Ligi ya Mabingwa (CAFCL) na Kombe la Shirikisho (CAFCC)View attachment 2550426
Nimejiuliza sana, kuwa je kwa wale wanatutolea live update hapa JF inakuwaje?Mmesoma maneno hayo "au kutoa taarifa za moja kwa moja(Live updates) wakati mchezo unaendelea...."
Mbona hii kama inaihusu pia JF. Kuna snitch humu nini? Wameona tunafaidi saana.
inawahusu maana jf ni chombo cha habari pia.Nimejiuliza sana, kuwa je kwa wale wanatoa live update hapa JF inakuwaje?
"Shirikisho la mpira wa miguu Afrika (CAF) ndo wenye haki ya matangazo ya Radio kwa hatua ya makundi na hatua ya mtoano Ligi ya Mabingwa (CAFCL) na Kombe la Shirikisho (CAFCC)"Mmesoma maneno hayo "au kutoa taarifa za moja kwa moja(Live updates) wakati mchezo unaendelea...."
Mbona hii kama inaihusu pia JF. Kuna snitch humu nini? Wameona tunafaidi saana.
Hapa umetufumbua macho"Shirikisho la mpira wa miguu Afrika (CAF) ndo wenye haki ya matangazo ya Radio kwa hatua ya makundi na hatua ya mtoano Ligi ya Mabingwa (CAFCL) na Kombe la Shirikisho (CAFCC)"
Kwenye hiyo taarifa haikusema kwa mitandao ya kijamii
Ok poa"Shirikisho la mpira wa miguu Afrika (CAF) ndo wenye haki ya matangazo ya Radio kwa hatua ya makundi na hatua ya mtoano Ligi ya Mabingwa (CAFCL) na Kombe la Shirikisho (CAFCC)"
Kwenye hiyo taarifa haikusema kwa mitandao ya kijamii
SAWA ASANTE KWA TAARIFA