Taarifa ya daktari wa rais

hivi raisi hana wasaidizi? harambee ya kiwanda cha tangawizi, kuhutubia mkutano wa chakula nk nk...wasaidizi wake kwa nini wasiende?

Hii imesemwa mpaka basi, wasimwambie tu apumzike wamueleze pia jinsi safari zake zisivyo na faida na hasara anayotutia walipa kodi..maana inawezekana wanaongea tu magazetini halafu wakifika mbele ya bwana mkubwa wana sugar coat..
 
Rais Jakaya na mkewe Salma wakibembea hewani kutalii vivutio nchini Jamaica pamoja na Waziri wa Utalii nchini humo,Edmund Barlett (kulia) na Horace Clarke, mmiliki wa bembea hilo lipitalo meta 50 hewani umbali wa kilometa mbili.Nadhani raisi wetu anapumzika labda kama kuna hoja nyingine
 
jamani hivininyi na akili zenu mnaamini eti alianguka kwa uchovu..teh teheeeeee...huyu mgonjwa jamani.mbona alivokuwa jeshini hatujawahi kusikia kaanguka wakati wa fatiki za kijeshi
 
Rais Jakaya na mkewe Salma wakibembea hewani kutalii vivutio nchini Jamaica pamoja na Waziri wa Utalii nchini humo,Edmund Barlett (kulia) na Horace Clarke, mmiliki wa bembea hilo lipitalo meta 50 hewani umbali wa kilometa mbili.



Waough!!!! MAPUMZIKO TOSHA...
 
Mh. tatizo ataki kudelegete mbona wasaidizi wapo wengi na wanalipwa na kodi yetuAngalia Jamaica sijui kaenda kufanya nini? ovyo????????.
 
Tatizo anatumia pesa zetu sisi walipa kodi! Tufanyaje aache au kupunguza safari hizo?

mkuu avatar yako inatamanisha sana........naona serengeti lager.....dah!!! nimeimiss kweli
 
Kweli ni mambo ya aibu sana.watu wanakufa njaa ,yeye anaenda Jamaica kubembea,kwanini asibembee ikulu,mbona kuna mabembea mengi tu.
kweli Rais tunae.
 

Hii quote hapo chini kama ni kweli,basi we have a serious problem,sijui ni washauri ama ni kitu gani,ama wafadhili waliomwingiza ikulu ndo wenye ku call the shots na kwakuwa wanajua ni mtu mwenye kupenda safari,basi kazi yao ni kumpangia ratiba na kuendesha nchi,rais anatumika vibaya sana kwa maslahi ya mafisadi.Wananchi wakipiga kelele wanamwandikia hotuba inayodai kelele za mlango hazimyimi usingizi,wananchi wakazidisha kelele akasafiri weee,akarudi wakamwandikia tena hotuba ndefu sana,akawaambia wananchi "Kula uliwe"Sasa kweli naona wananchi wanaliwa,tatizo ni kwamba wananchi wenyewe hawajala chochote zaidi ya umasikini na njaa.

 

Its a bit embarrasing to be concerned with his health at the end of the day he is less concerned about what the majority of the Tanzanians think of him as he plunders our money while majority of Tanzanians starve to death and schools lacking the neccessary materials.

He is a disgrace.He's not my president and he never will be either.
 
BWM alijihusisha kwenye KAGODA,TWIN TOWERS,NET GROUP, ANBEN,etc, etc sasa hivi anatamani saa irudi nyuma ili afute madhambi yake. Nadhani Muungwana kaamua kutengeneza pesa yake kwa njia ya halali nayo ni masurufu ya safari (nje na ndani ya nchi).
 
Jamani kasema tena kawaambia Mawaziri wake kuwa hawamsaidiiiii.Ndo maana anashindwa kupuumzika kwa kuwa akipumzika kila kitu kitakwenda ovyo.
HUENDA HIYO NDO SABABU INAYOMFANYA AENDE HUKU NA HUKO.
 
Jamani kasema tena kawaambia Mawaziri wake kuwa hawamsaidiiiii.Ndo maana anashindwa kupuumzika kwa kuwa akipumzika kila kitu kitakwenda ovyo.
HUENDA HIYO NDO SABABU INAYOMFANYA AENDE HUKU NA HUKO.

Asiwakashifu mawaziri aliowateua mwenyewe. Jamaica kenda kuwasaidia Mawaziri kazi zao?
 
Kama mawaziri hawamsaidii aliwachagua wa nini,na kwa nini hasiwafukuze kazi? Na si kwamba wanamsaidia ni wajibu wao kufanya kazi! Maana wanakula pesa ya walipakodi!
 
Kama ni trais Tanzania tunaye, na kama ni wasaidizi wake Tanzania tumewapata, hivi kweli huyu mpiga picha wa serikali hakuona madhara ya kutuma hiyo picha?

Wananchi hawana maji, rais anabembea.
Watoto hawana madawati mashuleni. rais anabembea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…