Taarifa ya daktari wa rais

amletee nani masiha bora..maisha bora yanapatikana kwa kwenda jamaica??lol

Wewe hapo na watanzania wengine... kwani huko Jamaica anaenda kucheza samba au? grow up...
 
Wewe hapo na watanzania wengine... kwani huko Jamaica anaenda kucheza samba au? grow up...

jamaica is said to have a fiscal deficit of 20% of its GDP (visit www.jamaicaobsever.com) ,ranked 101th out of 177 countries in the Human Development Index,then rais wa nchi kabisa unakwenda kutembelea nchi kama hiyo na unasema unaenda kutafuta wawekezaji.lol ,yale yale ya uvivu wa kufikiri,unampigia simu mchungaji usiku unaomba awaombee mnataka kulala
 


Watanzania tu wepesi mno kusahau."Moderators na Mwanachama mmoja mmoja itunzeni Report hii ya Dr.Mfisi" Ukweli wa Jambo hili utajulikana tu...Na ikiwa Rais ni mgonjwa ni lazima watu wawajibike kwa kusema UONGO.
 

Kigogo, Wapi wameandika anaenda kutafuta wawekezaji huko Jamaica?!
 
ROFLMAO..... hao ma-spinmeisters wake wajue kazi waliofanya ni ya standard one!
BLAH...BLAH....BLAH......
Alafu wanatuona wajinga, daktari wa kawaida hawezi kuandika utumbo kama huu

- Nini maana ya kuwa na 'damu nyingi'? naomba mtaalam aniwekee hapa jina la kitaalam kwa kiingereza.
- Why emphasize kwamba damu yake inatumika kuokoa watu? We don't care kwani ni siri ya blood bank kama damu yake ni safi au la. Wao wanachukua na vipimo baadae, na huambiwi matokeo. Waongo tu wanataka kuonyesha kuwa hana ngoma...
- Daktari ameshajitambulisha sasa hapa katikati wanajirudia eti 'watu wasikie na kwa ukweli' WTF? Tusikie na kwa ukweli?

Naomba nitoe maoni haya kwa kipngele haka kadogo maana inatia kichefuchefu, wajanja with little IQs wanapotaka kujifanya eti they are soooooo clever.... this report is poorly written and unethical and unprofessional. Kama imeandikwa na daktari wake basi afutiwe kazi mara moja!
Na ujumbe wangu kwa wapambe... PLZ! Msijaribu kuspin it more because it just gets worse. Sasa tumehakikishiwa kuwa rais ni mgonjwa na they are really concerned.
I rest my case......
 
Haya dada nashukuru kwa maoni yako ila kumbuka kuwa kunguru mwelevu......... akisema mwache upeo wake ndo umegota hapo sasa ukianza kumwaga cheche na akina GT watakuja hapa then tutapotosha maana halisi ya hii thread.
Thanx

Nimekuelewa dada/kaka waga!
 
Kwa Nyerere mlisema haya haya enyi madaktari wa wakubwa! Mkaishia kwenye aibu tupu.Anyway, mdomo ni mali yenu semeni lolote mtakalo tutakaotaka kuamini tutaamini wasiotaka wataendelea kubaki na LABDA yao.
 
...Nini maana ya kuwa na 'damu nyingi'? naomba mtaalam aniwekee hapa jina la kitaalam kwa kiingereza...

Polycythemia vera...It is due to overproduction of red blood cells.....The treatment is frequent transfusions
 
Hii taarifa ya Dr. Peter Mfisi inaleta picha ya 'pamba kwenye videvu'. Nakumbuka tamthiliya za zamani kuhusu wezi wa pamba. Wazee wenye busara walisema kuwa wezi mtawatambua kwani wana pamba kwenye videvu vyao. Kama wewe si mwizi wa pamba kwa nini ushike kidevu chako?

Dr. Mfisi. maelezo yote hayo ya nini kama Rais ni mzima na ana afya njema?
 
fainting (syncope)

Fainting, "blacking out," or syncope is the temporary loss of consciousness followed by the return to full wakefulness. This loss of consciousness is accompanied by loss of muscle tone that can result in falling or slumping over. To better understand why fainting can occur; it is helpful to explain why somebody is awake.
The brain has multiple parts, including two hemispheres, the cerebellum, and the brain stem. The brain requires blood flow to provide oxygen and glucose (sugar) to its cells to sustain life. For the body to be awake, an area known as the reticular activating system located in the brain stem needs to be turned on, and at least one brain hemisphere needs to be functioning. For syncope to occur, either the reticular activating system needs to lose its blood supply, or both hemispheres of the brain need to be deprived of blood, oxygen, or glucose. For the brain to stop functioning, the flow of blood must be briefly disrupted to the whole brain or to the reticular activating system.
Fainting is not caused by head trauma, since loss of consciousness after a head injury is considered a concussion. However, fainting can cause injury if the person falls and hurts themselves, or if the faint occurs while participating in an activity like driving a car.
What causes fainting (syncope)?

Decreased blood flow to the brain can occur because 1) the heart fails to pump the blood; 2) the blood vessels don't have enough tone to maintain blood pressure to deliver the blood to the brain; 3) there is not enough blood or fluid within the blood vessels; or 4) a combination of reasons one, two, or three above
By Benjamin Wedro, MD,FAAEM.
 
Solo! Unabishana na Dr.? kwanini ww huamnin? umempima ukagundua mgonjwa au ni unasikiliza maneno ya wanasiasa?

Hiki titakuwa kimelea cha chadema tu.Daktari kasema aliyopima ww umepima nini au maneno.
kweli wenye visa watu.
 
Watanzania lini wakawa wakweli? Any way, kwa sasa madaktari wa Rais tuwape 'benefit of doubt!' Mheshimiwa apone ili mwakani tuone itakuwaje kwenye uchaguzi: kaulimbiu za kasi mpya, maisha bora kwa kila mtz, blah, blah,...blah!

Apone nini?Umeambiwa haumwi,Ebo!Ni uchovu tu.
 
[Malaise and brief losses of consciousness after 65 years of age. Clinical diagnosis and value of complementary studies in 512 patients]

[Article in French]


Guillevin L, Sereni D, Girard JF, Galanaud P, Veyssier P, Labram C.
A retrospective study of the diagnosis and causes of malaise and loss of consciousness has been conducted under the aegis of the French National Society of Internal Medicine. This multicentric and retrospective enquiry, which involved 512 patients, revealed that up to 44% of the malaise had no diagnostic label and that those of known aetiology were frequently due to cardiovascular disorders, such as postural hypotension (11.7%) or arrhythmia (9.5%). The study also demonstrated that the clinical enquiry was more important than complementary examinations which yielded few useful data
 
Daktari amejichanganya aliposema JK anadonate blood after 6 months, hii kweli itadhihirisha president mgonjwa japo hawataki kusema ukweli. Na kudonate alianza muda toka yupo waziri alikuwa anatoa damu TMJ hospital.
 
1.Mbona ripoti inaonyesha Rais hajafanyiwa EEG wakati ana historia ya kuanguka?
2. Wakati Rais anafanyiwa kipimocha colonoscopy(2007) na endoscopy(wiki chache zilizopita) alikuwa na indication gani ya vipimo hivyo? kwa sababu hivi sio vipimo vya kufanya tu kucheck utumbo ulivyo, vinafanywa kwa watu wenye dalili za magonjwa fulani.
3. Kwanini Rais anarukaruka hospitali mara New York Mara Paris etc kwenda kufanya vipimo, kwanini asiwe na hospitali moja inayoaminika.
4. Pressure ya 130/85 ni ya kawaida kwa vigezo vipi?
5. Wingi wa damu aliokuwa nayo rais unahusu chembechembe zipi za damu? Je, risk ya leukemia imekuwa ruled out na kipimo gani kati ya hivyo vilivyotajwa?
 
Kila ninapoona response za serikali yetu juu ya jambo flani LAZIMA nilitilie shaka zaidi... Ni tangu walipotoa tamko lao dhidi ya EPA na baadae Richmond lakini kinachokuja kubainika kinakuwa tofauti...

Kuna jambo SI BURE!
 
Hiki titakuwa kimelea cha chadema tu.Daktari kasema aliyopima ww umepima nini au maneno.
kweli wenye visa watu.

Ha ha ha,

yaani utadhani kuwa wana ccm wao hawaguswi na majibu yanayojichanganya ya dakitari wa mwenyekiti wa chama.

JF bwana inafurahisha sana.
 

uchovu na usingizi...
 

Hii si ndiyo ofisi ya Salva Rweyemamu?


OBR hawana anwani hadi watumie Kurugenzi ya Mawasiliano?



Je, kwa maelezo yote yaliyotolewa hii taarifa imeandiliwa na OBR au Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu?

Kwa uzoefu wangu wa kufanya kazi na madaktari ni nadra kuwapata madaktari wenye uwezo wa kuandika taarifa ndefu kiasi hicho. Pia hata kama wangekuwepo, kutoa taarifa ya kila kiungo au mfumo wa mwili (body systems) siyo utaratibu wa kuweka kwenye taaria kwa umma. Kwa sababu hiyo nashawishika kuamini kuwa hii taarifa imeandaliwa na watu ambao siyo madaktari. Wamechukua taarifa kutoka kwenye notice za Madaktari na kubandika kwenye taarifa yao.

Pressure yake ilikuwa 130/85mmhg

Normal blood pressure ni 90-119/60-79mmHg. Kuanzia120-139/80-90 inaitwa pre-hypertension (http://en.wikipedia.org/wiki/Hypertension#Signs_and_symptoms)

Joto la mwili lilikuwa digrii 37.5 centigrade ambalo ni la kawaida.

Joto la ≥ 37.5 centigrade tayari ni homa labda kama alikuwa kwenye mazoezi au mazingira ambayo yanaweza kupandisha joto kiasi hicho.


Hiyo damu nyingi inasababishwa na nini? Kwani huo siyo ugonjwa?

Kwa maoni yangu hivyo vipimo hapo juu viko katika kiwango cha juu (upper range). Inawezekana ni kweli au vimebadilishwa ila waoneshe kuwa Rais alikuwa karibia anaanza kuumwa! Hata hivyo suala la Mheshimiwa Rais kuanguka akiwa kwenye hafla za wazi si jambo la mchezo. Madaktari wanatakiwa kutoa maelezo ya kina. Tumezoea kuona watoto wa chipukizi wakianguka lakini siyo watu wazima tena wanaofanyia kazi kwenye sehemu zenye kivuli na hewa ya kutosha. Kama hawana maelezo bora wakae kimya au waombe msaada. Watu tulipiga kwata za JKT lakini hatukizimika hovyo labda maselule wachache tu. Masa ni shahidi wa hili. Labda tuambiwe rais wetu naye ni selule!
 
Mi naawaona madaktari inawezekana kabisa wapo sahihi ,kuwa hali aliyokuwa nayo ni ya uchovu .ila kitu kimoja kwa lugha ingine tuansema yupo standard au ni average ya hali ya binadamu, ila kufikia kuanguka au inawezekana pingine jamaa anatatizo la kulala huku anazungumza ,kuna jamaa alitoka usiku akaenda kupanda mnazi na kuangusha nazi na kurudi kuendelea kulala ,kumbe kitendo chake chote kilikuwa yumo ndotoni na jamaa waliomuona walitaaka kujua kwa nini alikwenda kukwea mnazi usiku ,ilibidi aende hospital ,baada ya kuhakikishiwa alifanya kitendo hicho kama haitoshi baada ka ya miezi tisa jamaa akiwa usingizini alienda dukani kununua kitu na kurudi kulala,pale dukani alikopa ,alipodaiwa alisema hakuwahi kuenda dukani hapo.

Jambo lingine hizi ni mbinu za kuiba uchaguzi na za kutaka kuonewa huruma na zaidi kukwepa mambo yahusiananyo na ufisadi ,bwa mkubwa hakuna cha ugonjwa wala maradhi ni ujanja tu wa kutafuta sababu za kupanda mapipa na kuelekea majuu kwa kisibabu cha kaugonjwa kasichojulikana ,inaonyesha anaenda kutafuta waganga wa ndumba Jamaica,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…