Ustaadh JF-Expert Member Joined Oct 25, 2009 Posts 413 Reaction score 19 Oct 31, 2010 #21 buckreef said: Mwanakijiji, Kazi kweli kweli, naona umeamua kukata sehemu ya kampeni za CCM hapo Jangwani? Click to expand... Ndio tatizo la kuegemea upande mmoja....Mwanakijiji kuwa fair kwa mashabiki wa vyama vyote!
buckreef said: Mwanakijiji, Kazi kweli kweli, naona umeamua kukata sehemu ya kampeni za CCM hapo Jangwani? Click to expand... Ndio tatizo la kuegemea upande mmoja....Mwanakijiji kuwa fair kwa mashabiki wa vyama vyote!
M Mtaka Haki JF-Expert Member Joined Oct 1, 2010 Posts 492 Reaction score 149 Oct 31, 2010 #22 Huyu Sheikh mbona anamuomba Mungu amuweke Kikwete mahali pema?
KakaJambazi JF-Expert Member Joined Jun 5, 2009 Posts 18,804 Reaction score 12,227 Oct 31, 2010 #23 Thx Ufoo Saro. I love you.
Lupweko JF-Expert Member Joined Mar 26, 2009 Posts 23,566 Reaction score 24,891 Oct 31, 2010 #24 Mtaka Haki said: Huyu Sheikh mbona anamuomba Mungu amuweke Kikwete mahali pema? Click to expand... Hata mimi nimemshangaa huyo dogo, sijui alimaanisha nini. Hivi yeye mwenyewe atapiga kura?
Mtaka Haki said: Huyu Sheikh mbona anamuomba Mungu amuweke Kikwete mahali pema? Click to expand... Hata mimi nimemshangaa huyo dogo, sijui alimaanisha nini. Hivi yeye mwenyewe atapiga kura?
KakaJambazi JF-Expert Member Joined Jun 5, 2009 Posts 18,804 Reaction score 12,227 Oct 31, 2010 #25 Robo mtakatifu ilibidi aingilie kati baada ya kuanza kupiga kampeni, badala ya kuombea amani. Ndo mana akatamka ishu la kulazwa mahali pema.
Robo mtakatifu ilibidi aingilie kati baada ya kuanza kupiga kampeni, badala ya kuombea amani. Ndo mana akatamka ishu la kulazwa mahali pema.