Taarifa ya Kiintelijensia...Nesi huyu na Mgonjwa!



Mimi nafikiri mgonjwa karidhia, na ana-enjoy. Ndio maana wamerudia rudia bila kusumbuliwa na watu wengine. Ingekuwa ni kubakwa, mara zote hizo wanapofanya mgonjwa angepiga kelele na hata kutoa taarifa kwa manesi/waganga wa zamu, ambao naamini wanabadilishwa badilishwa. Huyo mgonjwa hajabakwa na inawezekana hata yeye mwenyewe aliomba. Of course nafikiri inamsaidia kwenye kupona kwake.
 
-Hakikisha unapata ajali na kuvunjika ugoko ili uwe eligible kukaa pale kwa muda mrefu!
-Hakikisha una senti za kutosha ili upate TLC(Tender-Love-Care)!

haloo, basi likipata ajali si wataumia na wengine ambao hawahusiki? Itabidi nizungumze vizuri tu na mtu wa kitengo cha x-rays ili anipatie picha yoyote ya mtu aliyegongwa na treni ili niitumie.
 
-Hakikisha unapata ajali na kuvunjika ugoko ili uwe eligible kukaa pale kwa muda mrefu!
-Hakikisha una senti za kutosha ili upate TLC(Tender-Love-Care)!
Kisa! Kummega nesi.......ukifa kwenye hiyo ajali?
 
hapa sioni tatizo mradi tu yalikuwa makubaliano ya hao wawili,lakini pia nesi tunaweza kumlaumu bure hata mgonjwa mwenyewe inawezekana alivutiwa na nesi akainjinia zoezi zima,lakini kama nesi huyu amekuwa na tabia hii kwa wagonjwa wengi wa kiumu ni mtovu wa nidhamu na anahitaji kuwajibishwa kwa utovu wa nidhamu
 
Nesi anatoa huduma kwa mgonjwa wajameni. Hivi unajua kwanini manesi wanavaa gauni fupi?? Waulize wataalamu watakwambai kila kitu.
 
Duh, hii noma sana. Huyo nesi atawamaliza wagonjwa maana hapo kusambaa kwa maradhi ni rahisi.

PJ, vipi kuhusu Intelejensia ya madaktari wa kiume kwa wagonjwa wa kike?

Maana wale wa OBGY kwa PR ya wajawazito wako juu.
 
basi kama ameridhia wote wawili wanastahili kushughulikiwa kwani hospitali sio sehemu ya ngono, indecency na unethical hata uiangalie vipi
 
basi kama ameridhia wote wawili wanastahili kushughulikiwa kwani hospitali sio sehemu ya ngono, indecency na unethical hata uiangalie vipi

You are right. Haijalishi nani karidhia. Kuna kitu kinaitwa ethics za kazi.... Na hapo hazikuzingatiwa.
 
Ubaya uko wapi kama jamaa karidhika! tena c mnajua ninyi vijemen mtarimbo hausimami kama hujaamua au kama unahofu! sasa jamaa kakubali kachakachua, tena huyo nurse anatakiwa apewe tuzo na wadhfa kwa kuwajali wagonjwa kwa kuwapa haki ya kimsingi! watapona haraka sana. Du mbona hapa kwetu sumbawanga hayupo kama huyo! kaka yangu yupo hosp muda mrefu hajagonga kabisa!!!!!
 
Hii tiba mbadala au simuliteneous tiba huyo darlingtone ana jambo zuri sana la tiba mbadala aliwahi kusikia zaidi labda na kwingine atueleze tupate nasi ikitokea make iringa mbali
 
As long as amevunjika mguu sioni tatizo ila angekuwa amevunjika nyonga ingekuwa problem.
 

...ha ha ha, dah...usijefanyisha wagonjwa wetu wa pale MOI wakaomba uhamisho kwenda ILEMBULA.
madhali ndugu wamemsusa, msimtilie kitumbua mchanga 'anapo kogeshwa' na nesi wake.
:closed_2:
 
Atapona haraka kuliko kawaida...

Any Doctor in da haus pls
Its true atapona haraka, kwani sexual stimulation inaondoa stress, inasababisha serotonin and dopamine secretion kwenye ubongo. Matokeo yake ni kuwa jamaa atakuwa more relaxed, na inflammatory cytokines zitazuiwa kwa kiasi fulani. kwa ufupi atapona haraka. Kama huamini subiri wakati una maumivu fulani, then lazimisha (maana katika hali ya kawaida inapotea) kuwa sexually aroused, then utajua nguvu yake katika uponyaji...
 


..............Mkuu kuuliza si ujinga ILEMBULA iko wilaya gani?
 
..............Mkuu kuuliza si ujinga ILEMBULA iko wilaya gani?
Mkuu, iko wilaya ya Njombe...ambapo sasa ni mkoa wa NJOLUMA!
iMEKUWAJE UKATAKA KUPAJUA DOGO?...Unataka kulianzisha nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…