Huna jipya!patia na mm hiyo contact
Valuu chukua bar yoyote ya jirani, waambie bili kwangu!mpwa ulienda nymbani BILA TAARIFA?...!
nakudai valuu moja!
halafu mpwa niangalizie kwa makini hiyo ''semi-trailer'' WISELADY,nakuamini sana ndo maana nilikuachia
Hahahahahahaha Baada ya kuisoma hii habari imenibidi nimpigie simu Nurse mmoja yupo pale amenitajia hadi jia la huyo Nurse anaetembea na Wagonjwa. Details zaidi ameniambia atanipa baadae. Naifahamu vizuri sana hii hospitali nilishawahi kufanyia intern pale
Maadili ya professions hakuna tena dadaangu!Kwa hiyo ni kitu cha ukweli na siyo porojo?
Nadhani nchi imefika pabaya sasa. Maadili sehemu za kazi hafuatilliwi tena? Tumesikia utupaji wa vitotot vichanga mahospitali na uibaji wa watoto unaofanywa na wafanyakazi wa hopsitali.Sasa hili nalo la kutembea na wagonjwa ni kubwa lao!
WAZIRI WA AFYA UPOOOO?