Ngaliwe
Senior Member
- Dec 30, 2015
- 164
- 374
Kama mnavyojuwa gharama za vifurushi zimeongezeka maradufu kwa sisi watumaji na wasomaji wa taarifa mbalimbali za mitandaoni.
Hivyo tumekubaliana kwamba yoyote anataka kutuma video au audio yenye zaidi ya MB 2.5 atalazimika kuandika barua kwanza kwa admin na aeleze maudhui ya video yake au audio yake kabla ya kuileta groupn.
Pia kikao kimeshauri yoyoye mwenye video yenye zaidi ya MB 8 kabla ya kutuma awafahamishe Members wa group kwanza na awaelekeze nyumba anayoishi au atakapopatikana ili mwenye kuhitaji akodi bodaboda au Uber/ Bolt au Mwendokasi ili akufuate ulipo aje kuona hicho ulichonacho.
Mwisho kila Admin atakuwa na jukumu la kukaguwa wanaorudia rudia video kwa makusudi ili kuwafelisha wenzao kiuchumi.
Wako
Mwenyekiti wa Kikao
Mnyonge Mnyongeni
[emoji1431][emoji1431][emoji1431][emoji851][emoji851]
Hivyo tumekubaliana kwamba yoyote anataka kutuma video au audio yenye zaidi ya MB 2.5 atalazimika kuandika barua kwanza kwa admin na aeleze maudhui ya video yake au audio yake kabla ya kuileta groupn.
Pia kikao kimeshauri yoyoye mwenye video yenye zaidi ya MB 8 kabla ya kutuma awafahamishe Members wa group kwanza na awaelekeze nyumba anayoishi au atakapopatikana ili mwenye kuhitaji akodi bodaboda au Uber/ Bolt au Mwendokasi ili akufuate ulipo aje kuona hicho ulichonacho.
Mwisho kila Admin atakuwa na jukumu la kukaguwa wanaorudia rudia video kwa makusudi ili kuwafelisha wenzao kiuchumi.
Wako
Mwenyekiti wa Kikao
Mnyonge Mnyongeni
[emoji1431][emoji1431][emoji1431][emoji851][emoji851]