Taarifa Ya Kuhani Msiba Kwa Dada JS

ahsante sana mzazi mwenzangu!
PAMOJA TUTASHINDA
 
Pearl alitoa wazo hili
Teamo ukajibu hivi.......

naiona point yako mkuu....!

maadam hoja iko mezani ngoja tuone wadau watasemaje
Nami nikaunga mkono hoja...
Mara Teamo akageuka hivi.

Kumbe haikuwa na haja ya kujadili meza iliyo mezani kama ulivosema awali kwakuwa kumbe demokrasia ilishafanyika.....ila sikumbuki kama nilihusishwa kwenye kupiga kura zaidi ya habari hizi za ghafla.

Hata hivyo naunga mkono Hoja, wengine tutamuona siku nyingine. Naomba mumpe mkono wa Pole JS kwa niaba yangu tafadhali. Mwambieni tuko Pamoja katika wakati huu mgumu...
 

The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:
Teamo (Today)
 
lakini wakuu hapo juu,
kama kuna kingine zaidi ya KUMPA POLE TU tuhabarishane basi tuairishe kikao maanake mi sioni sababu
 
pole sana JS,
Bwana ametoa, na bwana ametwaa,
mwanga wa milele umwangazie
apumzike kwa amani baba wa JS!!!

SIKUWA NA TAARIFA KABISA NA HUU MSIBA, NASHUKURU KWA HII NOTE!!!!!!
 
Pole sana JS kwa msiba mkubwa uliokufika. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi~AMEN
 
Wakuu,

tusameheane tu kwa kuchelewa kupeana taarifa kidogo hakukuwa a nia yoyote tofauti wajameni

NI UPENDO TU
Mtuwakilishe vema enyi mtakaoenda. Msisahau kumpa pole JS kwa niaba yetu
 
Pole JS. Bwana ametoa, Bwana ametwaa, jina la Bwana lihimidiwe.

Pale ni wapi nasi tufike?
 
asante kwa taarifa Teamo, pole JS.
 
POLE SANA DADA JS,.Mungu akupe nguvu!
 
Pole sana JS
Mungu na akupe nguvu ktk wakati huu mgumu!
R.I.P Baba JS
 

Inna lillahi wa inna ilaihi raji'un
We belong to Allah and to Him we shall return

Kwa niaba yangu na familia yangu, natanguliza pole nyingi sana kwa wafiwa hususani JS kwa kuondokewa na baba yeke mzazi.

Kwa hakika kuondokewa na mzazi wako ni jambo kubwa sana kwetu sisi binadamu, lakini ni nani awezaye kuliepuka?

Basi kama hakuna hawezaye kuliepuka, hatuna budi sisi binadamu kukubalina na lile ambalo Muumba wetu ametuwekea.

Tuliobaki ni jukumu letu kuwaombea dua wale wote waliotutangulia, ili nasi tukitangulia mbele ya haki, watakao baki nyuma nao wapate kutuombea.

Hakika ni majonzi makubwa sana pale unapofiwa, haswa unapofiwa na mzazi au ndugu wa karibu... ni mfiwa tu ndiye anayejuwa ugumu wa kukubaliana na msiba unao mkabili.

Teamo, peleka rambi rambi zetu kwa dada yetu, mwana JF mwenzetu, mwambie kuwa tupo pamoja kwenye msiba huu mkubwa ulio mbele yake.
 
Ni vigumu kwa kila mmoja wetu kufika lakini tunatanguliza pole zetu nyingi. Mungu azidi kukutia nguvu na kukupa ujasiri wa kuweza kuwa mvumilivu. Raha ya milele umpe Bwana na mwanga wa milele umwangazie astarehe kwa amani. Tupo nawe katika sala. Ubarikiwe sana.
Shukrani kwa mtoa mada ubarikiwe pia
 
......Pole sana JS, Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina la Bwana lihimidiwe.
 
habari za asubuhi mabibi na mabwana.....!

tunashukuru sana kwa kuguswa kwa dhati kabisa na msiba huu wa dadaetu mpendwa

tunawashukuru sana members waliojitolea muda wao tukafanikiwa kwenda kuhani msiba huu

tunawashukuruni sana kwa sala na maombi mliyoyafanya katika nia ya kumfariji dada yetu js

tunawashukuru sana tena sana kwa namna yoyote ile ambayo wanachama wa jf walishiriki

mungu awabariki sana

MAISHA YANAENDELEA KAMA HIVI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…