Taarifa Ya Kuhani Msiba Kwa Dada JS


Kwani niamba yangu mimi mwenyewe, Babu DC na bibi yao wale wajukuu wapendwa, naomba kuwashukuru nyote mlioweza kufika na kukamilisha hili jukumu muhimu sana.

Nimefarijika sana kwaba JF inawesha kumpa shavu mtu aliyefikwa na matatizo ya hii dunia. Ni jambo la faraja sana.

Asanteni kwa kutuwakilisha.

Babu DC
 
Pole sana Js...pole mno, may ournDadyn RIP Amen
 

The Following User Say Thank You to MFALME WA AMANI For This Useful Post:

The Finest (Today)​
 
Pole sana JS kwa kuondokewa na mpendwa wenu, RIP dad.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…