Taarifa ya serikali kuhusu uingizwaji wa mifugo nchini Tanzania

Dah siasa ikiingia vizuri kichwani ndio mawazo yanakuwa kama haya! nahisi ungesafiri kwanza na ujue dunia inavyosimamia sheria kikamilifu halafu pia uwaite wana chuki na hawana upendo kwa na watu wa mataifa mengine.
 
Unamshauri na mtu hata hajawahi kufanya biashara ya karanga.
 
Dah siasa ikiingia vizuri kichwani ndio mawazo yanakuwa kama haya! nahisi ungesafiri kwanza na ujue dunia inavyosimamia sheria kikamilifu halafu pia uwaite wana chuki na hawana upendo kwa na watu wa mataifa mengine.
Una ka mrija.
 
Kama maisha yangekuwa majambazi wengi wangekuwa hawafungwi kwa kufuata utu.
Huo ni utoto. Sheria kazi zake ni nini? Inatakiwa kila jambo liendane na sheria. Nyie mnaovunjwa sheria ndio mmezoea. Sasa hivi ni kufuata sheria. Kama hufuati sheria serikali itatimiza wajibu wake.
 
Nyie ndio wake zenu wanabebwa na wanaume wengine na mnawaacha eti kwa sababu ya utu.
Taratibu lazima zifuatwe. Hata nyumbani kwako unakuta jamaa limeingia chumbani kwako bila utaratibu utaanza kukenua kenua meno kama mwehu?
 
Onyesha kati ya hayo yote yaliyofanywa ni wapi nchi imevunja sheria yoyote ile, iwe ni sheria ya ndani, ya EAC au ya kimataifa, nchi hii haijawahi kuruhusu vifaranga toka mwaka 2007 sheria ilivyopitishwa, kama utakumbuka kuna vifaranga vilikamatwa pale airport Dar kutoka Malawi miaka kadhaa iliyopita na vilirudishwa kwasababu walivikubali virudishwe kule Malawi, acha kudanganya watu kwamba kuna vifaranga vinavyoingizwa

Kuhusu Kenya kukamata ng'ombe na kuziachia sio kweli, unazungumza maneno ya uzushi, Amina Mohamed alisema anajua kwamba kuna ng'ombe wa Tanzania upande wa Kenya lakini hawana mpango wa kuzikamata, kama ambavyo serikali ya Kenya imeshindwa kusimamia rushwa, na kurudisha usalama nchini, kila siku watu wanauliwa kutokana na kutosimamia sheria za nchi, unataka tuwaige wao na sisi tusisimamie sheria?
 
Nyie ndio wake zenu wanabebwa na wanaume wengine na mnawaacha eti kwa sababu ya utu.
Taratibu lazima zifuatwe. Hata nyumbani kwako unakuta jamaa limeingia chumbani kwako bila utaratibu utaanza kukenua kenua meno kama mwehu?
Najua kuna watu wengine wako tofauti kiakili na kimawazo, na majibu ya mtu ndiyo yanakupa aina ya mtu alivyo kutokana na mfumo wa kimawazo na akili
 
Gharama ya kuchunguza ungetoa wewe? Fanya biashara halali ndugu acha biashara za wizi kutegemea huruma.
Hii ni awamu ya tano sheria lazima zifuatwe.
Huoni kama ingelikua bora hata hizo gharama zingejumuishwa kwenye faini atakayolipa muingizaji ikiwemo hata kutaifisha gari iliyotumika kuingiza hao vifaranga kuliko kuteketeza kwa moto viumbe hai kinyume na haki za wanyama Duniani
 
Huoni kama ingelikua bora hata hizo gharama zingejumuishwa kwenye faini atakayolipa muingizaji ikiwemo hata kutaifisha gari iliyotumika kuingiza hao vifaranga kuliko kuteketeza kwa moto viumbe hai kinyume na haki za wanyama Duniani
Kwahiyo unahalalisha wizi kwa kutoza faini? Tembea bana acha issue za ajabu.
Yaani mnaanza kuhalalisha biashara haramu kwa kutoza faini.
Hivi unajua utakatishaji wa pesa unafanyikaje? Hizo ni akili za watu wezi tu wanaweza kufikiri. Mtu mwenye haki hawezi kufikiri mawazo kama yako. Tembea uone ndugu.
Jaribu kuingia marekani na vifaranga hivyo kama hautaangukia pua. Tatizo baadhi yenu hamna hata exposure mnasumbua tu.
 
Wewe kama ni mwanaume,namuonea huruma mama yako kwa kuzaa mtu asiye taka kusikiliza mawazo ya wengine na kama ni mwanamke basi mumeo ana wakati mgumu sana! ila jua vifaranga si haramu ni viumbe hai vyenye haki ya kuishi kama viumbe wengine kwa sie tuliosomea kilimo tumeshtushwa sana na hatua za mauaji walizochukua kwani tunafahamu fika hawakutakiwa kufanyiwa mihemko iliyofanyika,mbona ng'ombe nao wana magonjwa lakini hawateketezwi? Tena wale hawa kua na mwenyewe hivyo nao walikua ni mali ya haramu maana cha halali ni kile unachochukua baada ya kumjua mwenyewe! Acha akili cha akili za mkono wa kushoto wakati wengine wanatumia kuchambia wachache hupelekea chakula mdomon
 
Huoni kama ingelikua bora hata hizo gharama zingejumuishwa kwenye faini atakayolipa muingizaji ikiwemo hata kutaifisha gari iliyotumika kuingiza hao vifaranga kuliko kuteketeza kwa moto viumbe hai kinyume na haki za wanyama Duniani
Duniani kote njia ya kuteketeza wanyama kukitokea mlipuko inatumika, Tanzania inachofanya sio kigeni, tena kwa wenzetu huko ulaya wanawafanyia wanyama wakubwa kama nguruwe na ng'ombe, wanawateketeza kikatili sana
 
kusomea kilimo na kutokujua sheria za kuhusu wanyama ni ujinga.
Kuna magojwa ya mlipuko husababishwa na ndege. Magonjwa ni pamoja na kansa, mafua ya ndege nk. Hakuna mtu anayetaka kujua umesomea nini hapa. Mtu msomi huonesha usomi wake. Yaani unasoma certificate unajifanya msomi huu ni ujinga.
Kuna Genetic Mordified organism wewe kama umesoma kilimo unajua suala hilo? Je, unajia madhara yanayotokea kwenye issue za genetic mordification isiyofuata taratibu?

Ni mtu mpumbavu tu anaweza pinga jambo hili.
Huwezi ukaanza kutoa pesa kukagua vitu haramu. Kitu ambacho hakijapitia proceaa zinazotakiwa ni haramu. Amkeni vijana mnatuaibisha bana. Someni hata taratibu za kimataifa.
 
Unajaribu sana kuharalisha ujinga wako kupitia busara chache uliyojaaliwa, right Nina Bachelor sio certificate kama unavyooita na zaidi ili kujua magonjwa ya wanyama huwa tunafanya uchunguzi wa ki science na sio mihemko ya wapumbavu wa macho! Asante kwa ushirikiano wako
 
Duniani kote njia ya kuteketeza wanyama kukitokea mlipuko inatumika, Tanzania inachofanya sio kigeni, tena kwa wenzetu huko ulaya wanawafanyia wanyama wakubwa kama nguruwe na ng'ombe, wanawateketeza kikatili sana
Hatujakataa uteketezaji ila uteketezaji ufanyike Mara baada ya kuthibitisha kua vifaranga walikua na magonjwa/ugonjwa na sio sababu ya kipuuzi iliyotolewa ya kuteketeza ili kuua mtaji wa muingizaji asiingize tena
 
Hatujakataa uteketezaji ila uteketezaji ufanyike Mara baada ya kuthibitisha kua vifaranga walikua na magonjwa/ugonjwa na sio sababu ya kipuuzi iliyotolewa ya kuteketeza ili kuua mtaji wa muingizaji asiingize tena
Kama utakumbuka ni miaka kadhaa tu iliyopita ulaya ilikumbwa na ugonjwa wa midomo na miguu wa ng'ombe, wafugaji wote wa nchi zilizokumbwa na ugonjwa huo walilipwa na mifugo yote iliteketezwa bila kujali kama ilikuwa na ugonjwa au hapana, hiyo ndiyo njia inayotumika kuzuia magonjwa hatari ya milipuko kwa wanyama, ni tofauti na binadamu kwamba hadi wapimwe ndiyo umtenge.

Kitu kinachonishangaza kwako ni kwamba unapingana.na sheria na taratibu za nchi, wewe utakuwa ni mtu wa ajabu sana, katika huo waraka wa serikali umejieleza vizuri sana, kuanzia sheria zetu za udhibiti wa kuingiza wanyama, mifano ya nyuma baada ya kukamata vifaranga toka Malawi, na katika hili serikali imeeleza ni kwa jinsi gani iliwasiliana na serikali ya Kenya kujua uhalali wa vifaranga vile, na kuangalia uwezekano wa kuvirudisha, yote hayakuwezekana, na sheria inaruhusu kuteketeza vifaranga endapo option za kurudisha vilikotoka haiwezikani, hakuna option ya kuvipima na kuviruhusi viingie nchini, wapi unashindwa kuelewa?. Wewe usipoteze nguvu nyingi, Tanzania imepiga marufuku kuingiza vifaranga na aina nyingine ya ndege, ukikamatwa ni ama uvirudishe vilikotoka, au viteketezwe, hakuna option ya kuviingiza hata kama havina ugonjwa
 
Kwikwikwi kuwa na ka degree kamoja ndio unajiita msomi.
Toa upumbavu wako hapa peleka kwa watu wasio jielewa.
Tafuta kwanza na jaribu kufuatilia sheria za kimataifa. Wewe umesoma ufugaji tu na sio usimamizi wa sheria, Magojwa ya wanadamu.
Upumbavu zaidi unaendelea kujidhalilisha hapa. Pamoja na kukusaidia unaendelea kujidhalilisha hapa.
Nimekuuliza unajua magonjwa yatokanayo na GMO? Gharama za uchunguzi wa kujua hawa vifaranga hawana madhara ungetoa wewe?
Wewe unadhani wangechunguza magonjwa yapi ili kuku hao wawe kwa matumizi ya wanadamu?
Soma ndugu yangu uelewe hata kidogo mapambano ya kiuchumi.
Kuna mbolea imewahi kuingizwa nchini na matokeo yake kuharibu ardhi na kuwa jangwa. Acha kuhalalisha visivyo halali. Uwe mzalendo kwa manufaa ya raia wa tanzania. Kama wewe ni mtaalam kwa kiwango chako hufai kupewa kitengo chochote.
 
Sijawahi kuona mtu mwenye akili finyu humu katika JF kama wewe. I hope wewe ni production ya shule za kata ama umetoka kwenye familia ya malezi mabovu. Huwezi ukatoa matusi badala ya kujenga hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…