chimbendenga
Senior Member
- Sep 25, 2017
- 121
- 48
Basi kumbe nyie ni wakimbizi toka Kenya.Tuliopo hapa Tarime mpakani sirari Mungu tusaidie maana maisha yetu yanategemea Kenya.
Achana na maboya hayo.Mwenyekiti wa jumuia ya Afrika mashariki ni Mseven, hufuatilii mambo kaa kimya, pili mbona kila siku bidhaa za mamilioni zilizoingizwa nchini bila kufuata sheria toka china zinateketezwa hupigi kelele, kama vifaranga hao wakenya walikataa visirudishwe kwasababu havikupitia katika njia wanazozifahamu huko Kenya, ulitaka vipelekwe wapi?
Muongo mkubwa na mzandiki wewe, mtu anayeishi Kigoma au Mtwara anaendaje Kenya kufanya ujasiriamali? Sema wewe upo Jirani nao ndiyo maana unaumia. Sheria lazima ifuatwe Tanzania sio kichaka cha mahalifu. Plz.Serikali ijue sehemu kubwa ya wajasiriamali huwa wanafanya biashara zao kati ya Kenya na Tanzania na hiyo imesaidia sana masuala ya ajira. TRA miaka yote huwa inatoza faini kwa mtu anapokuwa amevunja utaratibu kwa mfano wale vifaranga wangechunguzwa na kukutwa hawana ugonjwa TRA walikuwa wanauwezo wa kumpiga faini mwenye vifaranga kufuatana na thamani ya mzigo na kumpa vifaranga vyake. Tuache kutumia lugha ya kuteketeza ama kutaifisha.
Matokeo yake ni kufilisi hawa wafanyabiashara wadogo
Kigoma anafaidika na mpaka Burundi na Congo na Mtwara mpaka wa Musumbiji. Nafikiria wewe ni muuza kahawa ndo maana hujui maana ya ujirani na mipakaMuongo mkubwa na mzandiki wewe, mtu anayeishi Kigoma au Mtwara anaendaje Kenya kufanya ujasiriamali? Sema wewe upo Jirani nao ndiyo maana unaumia. Sheria lazima ifuatwe Tanzania sio kichaka cha mahalifu. Plz.
Eti ujanja wa kuigaKigoma anafaidika na mpaka Burundi na Congo na Mtwara mpaka wa Musumbiji. Nafikiria wewe ni muuza kahawa ndo maana hujui maana ya ujirani na mipaka
Inferiority complex ,wakati Africa nzima wanawaheshimu watz ndo mana wanaitwa wabongo bcz of using positive mind in every opportunity.Tatizo tulilonalo hapa Africa kwa ujumla ni uchanga katika matumizi bora ya ubongo, hilo ni tatizo kubwa sana, haijalishi kama mtu amesoma au hapana, ukimsikiliza mtu mwenye elimu ya degree au hata PhD, utashangaa jinsi anavyodadavua mambo, katika hili sijutii kwa kutofika chuo kikuu.
Ninayakumbuka vizuri sana maneno ya Julius Nyerere, niniomba nimnukuu"Watanzania wengi ni wavivu, tena kazi kubwa wanayoiogopa ni kazi ya kufikiria", mwisho wa kunukuu, hili sio tatizo la watanzania pekee, ni Afrika nzima, nenda Zambia usikilize mazungumzo yao, utashangaa sana, sasa hebu vuka mpaka uingie DRC usikie upeo wao wa mawazo, unaweza kulzwa hospital na ugonjwa usionekane, usiende South Sudan kwanza, ingia Kigali usikilize jinsi wanavyofanya analysis ya mambo mbalimbali, Uganda kila raia wa Uganda is better than Museven, kuna msemo kwamba idadi ya raia wa Uganda ni sawa na idadi ya marais wa Uganda, malizia na watani wetu wa jadi hapo Nairobi, sikiliza mawazo yao na uwazo wao wa kufikiria, ukirudi Tanzania sidhani kama utaishi zaidi ya miezi miwili ukikamilisha huo mzunguko.
Africa ipi inayowaheshimu watanzania?, Tanzania kama inchi inaheshimika sana kutokana na mwalimu Nyerere, hasa kutokana na mchango wako wa ukombozi wa bara la Afrika na kutetea haki za wanyonge duniani, hilo jina la bongo tulijipa wenyewe, nani analijua zaidi ya nchi chache jirani?,Inferiority complex ,wakati Africa nzima wanawaheshimu watz ndo mana wanaitwa wabongo bcz of using positive mind in every opportunity.