Taarifa ya tume ya Corona imetoa mapendekezo zaidi kuliko hali halisi ya ugonjwa kwa sasa nchini

Siku hizi ukiwa na smart phone na bando kisha ukawa na access yakuingia kwenye mitandao ya kijamii basi unakua mtaalamu wa kila kitu!

Unakua unajua kazi za kila mtu zinapaswa kufanywaje na kwa usahihi gani kuliko hata kujua kazi zako wewe mwenyewe zinavyopaswa kufanywa na kwa usahihi gani!
 
Unaweza kukuta huyu kibwengo hajui chochote kuhusu sayansi, afya wala misingi ya tafiti lakini ndio mshauri.

Hivi sijui kwanini wabongo tuko hivi. Kitu hata kama hukijui utalazimisha kukijibu na kukiongelea hivyo hivyo yaani.
 
Unaweza kukuta huyu kibwengo hajui chochote kuhusu sayansi, afya wala misingi ya tafiti lakini ndio mshauri.

Hivi sijui kwanini wabongo tuko hivi. Kitu hata kama hukijui utalazimisha kukijibu na kukiongelea hivyo hivyo yaani.
Hatari sana,na hawa ndio wanao ipotosha jamii,hiyo kamati hata kama ingekuja na majibu ya aina gani watu kama hao hua hawakosekani,hapo ukute yupo chini ya mti wa muembe anatafuna muhogo mbichi huku akikosoa wasomi na ki tecno chake.
 
1. Kamati ingeelezaje wakati hamkuwa mnatoa data
2. Hali ya sasa hivi itaijuaje wakati bado hampimi kutoa data...
Kuna watu humu wanasema huko hospitali madaktari wanajua uhalisia wa corona na kuna watu wanasema ndugu waliugua corona na wengine wamefariki, sasa basi kamati ingeanzia huko hata kama hakuna takwimu ila wangejua nini kinaendelea huko mahospitalini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…