Nimeingia kwenye hii thread leo naona nimeshambuliwa haswa kwa comment yangu ya awali. Sawa, nakubali matokeo. Hongera mama Waziri wetu kwa kazi nzuri. Nimefuatilia threads zingine za huko nyuma nimeona kweli uko active na very engaging. Big up. Kazi iendelee. Tunaunga juhudi.