taarifa za boom ni kweli? tetesi hizi za kuwa boom litapanda hadi 10000 mwaka 2013/2014 ni za kwel?

taarifa za boom ni kweli? tetesi hizi za kuwa boom litapanda hadi 10000 mwaka 2013/2014 ni za kwel?

kutoka elf 5 had 7500 kulikuwa na utata et leo ifike elf 10 alafu bila maandamano kwl
 
Burget ilishasomwa mwez wa sita, hzo hela za juu utaongeza ww.serikal yako itaongeza kutoka wap? Wakat had sasa wanahaha baada ya kutoa buku-1000/= hawajui wapate mfuko gani? Sembuse ongezeko la 2,500/=
 
sitakaa kusahau nilipoondolewa mlimani nikipigania kupanda kwa hili bumu....sasa hivi madogo wanafurahi kupata 7500 kumbe kuna watu tulijitoa kwa hilo...
 
sitakaa kusahau nilipoondolewa mlimani nikipigania kupanda kwa hili bumu....sasa hivi madogo wanafurahi kupata 7500 kumbe kuna watu tulijitoa kwa hilo...

haaaahaaa cc wa mzumbe wala hatuna shida nyie mnajifanya mna njaa kali zaidi mnaondolewa wakti cc wla mgomo hatuujui tunauckia tuu
 
sitakaa kusahau nilipoondolewa mlimani nikipigania kupanda kwa hili bumu....sasa hivi madogo wanafurahi kupata 7500 kumbe kuna watu tulijitoa kwa hilo...
kwa tarehe uliyojiunga humu ndani napata shida kuamini wewe ni yule unayeclaim kuwa.......
 
haaaahaaa cc wa mzumbe wala hatuna shida nyie mnajifanya mna njaa kali zaidi mnaondolewa wakti cc wla mgomo hatuujui tunauckia tuu
unadhani ni sifa kutokugoma????......au mawazo yenu yamefungwa na ile mentality kwamba Mzumbe huwa hawagomi so hata kama mnakuwa treated vibaya mnapiga kimya coz kugoma kwenu mwiko???
 
wa mzumbe ni kondoo wanaochungwa na mchungaji udsm thats why hawajui kugoma
 
Back
Top Bottom