Taarifa zangu kwa watu wa Mikopo ya mtandao zinatumikaje?

Taarifa zangu kwa watu wa Mikopo ya mtandao zinatumikaje?

Annie X6

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2023
Posts
704
Reaction score
1,331
Hawa wakopeshaji hutakuja kukutana nao ana kwa ana. Nilikopa kwa shida na nikajutia kukopeshwa.

Swali langu je kwa kuwa wanataarifa zangu kama nakala katika picha yangu na Nida yangu je hawawezi kuzitumia vibaya?

Yaani ni wanatukana matusi na dharau wanadhani ukikopa huna akili, maskini hopeless kana kwamba wewe ni uchafu tu.

Yaani sijui wanasomea kutukana.? Baada ya kumalkzana nao. Nika uninstall app yao. Sitaki hata kuwasikia.

Je, hawaweza kunikopea wakanifanya bwege na kuanza wizi kwa taarifa zangu?
 
Ushauri kama hujawahi kufanya mkopo kwao. Don't ever try ni wezi na nahisi sio watanzania au wameajiri watanzania wenzetu na kuwapa mbinu ya kumchefua mtu ili akereke. Nimewalipa kwa sabab ya kero yao wala sio kukacha.

Kama sio wanigeria au somewhere huko west ni mashaka. Mtanzania ni mtu mstaarabu sana. Nahisi hizi mbinu ni za kigeni
 
Kwanza ile online contact ni false na forceful nimechekecha na sawa kama mimi ni mshamba_mwingine sawa ila nimefukunyua mkatana nikagundua unalazimika kukubali. Sehem za kutick zipo ticked tayari na hazibadili huwezi ku untick.

Pili wanakuambia after 30 days lkn kumbe ni after 7days......sisi wa mama samia after 7 days napata wapi pesa ya kulipa.?


Nimejichokea
 
Hawa wakopeshaji hutakuja kukutana nao ana kwa ana. Nilikopa kwa shida na nikajutia kukopeshwa.

Swali langu je kwa kuwa wanataarifa zangu kama nakala katika picha yangu na Nida yangu je hawawezi kuzitumia vibaya...
Mtu anayekopa kwenye hizi app za mikopo ni useless hopeless kiufupi unastahili kutuka wa ilu urejeshe hela yao.... unakuta mtu anakopa afarobaini sasa shuka 4 za mmasai zinakufanya utukanwe alafu bado ulipe kwa riba kubwa mhh kazi mnayo.

Mleta mada hao unawakopa ukiwa na shida gani labda na siku zote watu wanalalamika majamaa sio ila bado unakopa
 
Ushauri kama hujawahi kufanya mkopo kwao. Don't ever try ni wezi na nahisi sio watanzania au wameajiri watanzania wenzetu na kuwapa mbinu ya kumchefua mtu ili akereke. Nimewalipa kwa sabab ya kero yao wala sio kukacha.


Kama sio wanigeria au somewhere huko west ni mashaka. Mtanzania ni mtu mstaarabu sana. Nahisi hizi mbinu ni za kigeni
Screenshot SMS zao za kukera tuone mkuu. BTW Pole kwa kadhia
 
Hawa wakopeshaji hutakuja kukutana nao ana kwa ana. Nilikopa kwa shida na nikajutia kukopeshwa.

Swali langu je kwa kuwa wanataarifa zangu kama nakala katika picha yangu na Nida yangu je hawawezi kuzitumia vibaya...
Hiyo kutukana ni defensive mechanism kuweka mazingira ya uwoga. Ikija issue ya hela hamna kucheka cheka na huruma. Binadamu ni hatarii sana ukimkopesha ifikie hatua ya kurudisha. Kuna mmoja nilimkopesha kumdai ananiambia sina kama unataka niue tena kwa madharau.

Iliniuma sana.
 
Screenshot SMS zao za kukera tuone mkuu. BTW Pole kwa kadhia
Sina mawazo mpenzi! Muhimu umewalipa
Na mimi sitokuja kukopa humo, najifunza kutokana na malalamiko yenu
Hii kitu dear haimaanishi mtu unashida ama huna. Kuna wakati unafanya uone kibaya ninpale wanapoanza kudai simu kila saa
 
mtu anayekopa kwenye hizi app za mikopo ni useless hopeless kiufupi unastahili kutuka wa ilu urejeshe hela yao.... unakuta mtu anakopa afarobaini sasa shuka 4 za mmasai zinakufanya utukanwe alafu bado ulipe kwa riba kubwa mhh kazi mnayo.... ..

mleta mada hao unawakopa ukiwa na shida gani labda na siku zote watu wanalalamika majamaa sio ila bado unakopa
Siyo useless mkuu. Unakuta emergency inatokea. Zinasaidiaga sana kwenye dharura. Ila inabidi tu ujinyime ulipe.

Hii methali ya kiswahili ni kati ya methali zenye uhalisia 100% kabisa.

Kukopa ni harusi kulipa msiba.
 
Huwa nazifuta maana zinatia hasira.

Yaani hunijui unatukana.

Wanasema ulikuwa na shida zako umekopa hela za watu rudisha mbwa wewe:02Dance:yaani nimekuwa mbwa ?
Kwanini urudishe wakati wewe hujakopa kwa jina la mbwa?
 
Back
Top Bottom