Labda ilishatolewa, ila naomba kuwakilisha:
Baada ya kupita hoja ya kutoka analojia kwenda digitali..imekuwa ikisemwa vinunuliwe 'ving'amuzi'. Sasa kwa maana halisi 'ving'amuzi' ni 'detector', ila 'decorder' kiswahili sanifu ni KISIMBUZI na sio KING'AMUZI.
Nawakilisha.
.