mtendakazi
Member
- Mar 14, 2012
- 26
- 7
kaka hebu rudi kwanza edit hizo r na l umeinterchange position na kunifanya nivunjike mbavu
kutokana na mgomo wa ma daktari nchini na uhamuzi wa serikari kusitisha leseni za madaktari wapatao takribani 300 na baadhi yao wameanza kuondoka nchini ili kutafuta mahala wanakosamini taaruma hii mwenzeni naomba mtu atakayensaidia kupata fulsa hapa nchini katka kazi isiyo ya utabibu lakni taaruma yangu inaweza kufiti, plz wanajamvii nsaidieni coz naipenda nchi yangu japo viongozi wake ni vipofu
taaruma????????????/
fulsa????????????????? mimi siyaelewi haya maneneo ni ya kiswahili au kikurya
fafanua ndugu
Koma we, labda kikabila lenu
kutokana na mgomo wa ma daktari nchini na uhamuzi wa serikari kusitisha leseni za madaktari wapatao takribani 300 na baadhi yao wameanza kuondoka nchini ili kutafuta mahala wanakosamini taaruma hii mwenzeni naomba mtu atakayensaidia kupata fulsa hapa nchini katka kazi isiyo ya utabibu lakni taaruma yangu inaweza kufiti, plz wanajamvii nsaidieni coz naipenda nchi yangu japo viongozi wake ni vipofu
kutokana na mgomo wa ma daktari nchini na uhamuzi wa serikari kusitisha leseni za madaktari wapatao takribani 300 na baadhi yao wameanza kuondoka nchini ili kutafuta mahala wanakosamini taaruma hii mwenzeni naomba mtu atakayensaidia kupata fulsa hapa nchini katka kazi isiyo ya utabibu lakni taaruma yangu inaweza kufiti, plz wanajamvii nsaidieni coz naipenda nchi yangu japo viongozi wake ni vipofu
nyie vp,badala ya kumsaidia mnaleta mbwembwe,yule aliyemkosoa mwanzo c ameeleweka nyie wngn kuna umuhm san wa kujifanya mnajua matumiz ya heruf...kama hamna ya kuchangia c mpite tu,wabongo bhana MAKUNGU tu kat mwenzenu yupo serious