YeshuaHaMelech
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 2,596
- 37
Jamani,
unaona taasisi gani ivunjwe kabisa na ifutwe kabisa toka ktk katiba. Sio tu kwamba iundwe upya bali ifutwe kabisa!
Karibuni!
TAKUKURU, EWURA na TANESCO
Ziondolewe taasisi zote na kuanzishwa chache mpya. Taasisi nyingi ziemanzishwa kinyemela ili kuwapa watoto wa vigogo ajira na mishahara minono...
unakuta taasisi imejaa kabila moja au dini ya aina moja tu. Useless....
so far so good, karibuni wengine pia mtuambie! Taasisi gani hai perform ifutwe? Na mimi niongeze tu:
takukuru ifutwe,
Tiss ifutwe iundwe taasisi nyingine ya kusimamia mambo ya kijasusi, iajiri upya kabisa!
TTCL ifutwe na TCRA pia. Iundwe taasisi moja itakayosimamia majukumu yote ya taasisi hizi.