Tupe details za hilo duka. Je ukipewa hiyo 2mil utarudisha kiasi gani?Wakuu mimi ni kijana mjasirimali
Nimepambana kwa muda atimaye nimepata kaduka kangu kapo mjini kati
Sasa kulingana na pesa zangu za kuungaunga nimeshindwa kujaza mzigo nipige pesa
Nilikuwa naomba mnisaidie ni wapi naweza kupata mkopo wa milioni 2 wa riba nafuu kwa mwanza mjini ili niweke mzigo nipige show
Au mnanishauri aje ndugu zangu
Songo mikolo finese
We jamaa utakuja muweka rehani mkeoNyamhanga maiklofinensi
Maboto maiklofinensi
Chogo maiklofinensi
Tuone maiklofinensi
Ndaki maiklofinensi
Ndulu maiklofinensi
Bora umemchana ukweliKiukweli hakuna. Wote riba zao zitakuwa zimechangamka, kwa lengo la kupata faida nono. Hivyo jitahidi uende tu mdogo mdogo kupitia huo mzigo ulio nao.
Duka lipo wapi?Duka langu dogo tu ukiweka milion 1.5 Kama mtaji kwa siku unauza paka laki 4