Taasisi hizi zipo kihalali?

Faru Jenny

Senior Member
Joined
Dec 29, 2016
Posts
101
Reaction score
71
Wakuu naomba kupata mawazo na ufahamu wenu kuhusu hizi taasisi za kifedha ambazo hutoa mkopo kwa watumishi wa umma kwa utaratibu wa kuwataka wateja wao kuacha ATM cards ili wao wajichukulie fedha zao wenyewe kila mwezi hadi makato yaishe.Je?Serikali inatambua huu utaratibu unaotumiwa na Taasisi hizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…