KWELI Taasisi ya Afya Ifakara huzalisha Mbu maalum kwa ajili ya utafiti wa Malaria

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Wale mbu mimi siku ya kwanza nlikuwa na jamaa zangu wenyeji nikawa nawaambia hawa vipepeo wakubwa hivi ni wa wapi. Wakaniambia siyo vipepeo ni mbu. Wakikuvamia 10 wakakunyonya damu unaishiwa.
 
Mbu hao.walianza kuzalishwa mwaka jana mwishoni, kitaalum wanitwa tabanoferce.... Wametengenzwa kwa ajili ya utafiti wala kutokomeza ugonjwa wa malaria... Mbu hawa wakikungata wanakuongezea kinga ya mwili..

Ni hayo tu..
Ni kweli haya unayoyasema?
 
Kuna watu hapo wanakunyonya damu wewe unasema mbu.

Utakoma ubishi.
 
Nilikaa hapo kibaoni karibu na Bomani, aloo Hao mbu ni kama wanatembea na galoni, hawashibi, akiingia mmoja tuu utataftana.... Sema wengi ni mandezi, hawana Plasmidium wa Malaria.
 


Ulivyoenda uwani wamekudandia wapo ndani ye net na wewe
 
Walianzia Dar wakawatokomeza mbu halisi waliopo ni feki eti ajabu nakaa miaka 8 sijawai ugua malaria zamani kwa mwaka mara mbili lazima nimeze mseto
 
Aisee, wamenikomesha sana.
 
Mbu hao.walianza kuzalishwa mwaka jana mwishoni, kitaalum wanitwa tabanoferce.... Wametengenzwa kwa ajili ya utafiti wala kutokomeza ugonjwa wa malaria... Mbu hawa wakikungata wanakuongezea kinga ya mwili..

Ni hayo tu..
Watafute njia nyingine mkuu, hii hapana
 
Daa, hatari sana, vitu bei chee ila usiku ni vita, inabidi kesho niondoke hapa.
 
Angalia sana wanapenda sana kunyonya damu za sehemu za siri.
Karibu Ifakara upo sehemu gani mkuu?
 
Hao mbu utawapenda sasa msimu wa masika. Ni hatari tupu.
 
I wish kituo cha tafiti za SHERIA kianzishwe, hii kupeleka ma profesa kutuaibisha mahakama za kimataifa iwe mwisho.
 
Wangezalishia Lumumba Pale Jengo La Kijani
 
Kumekuwa na dhana potofu nyingi sana kuhusu IHI na mbu. Ila tangu nimenza kufanya kazi hapo IHI nimegundua nyingi ni maneno ya mitaani tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…