Taasisi ya Benjamin William Mkapa imeandaa mdahalo kuhusu Maisha ya Rais Mkapa

Kama hayo aliyafanya alikuwa sawa kabisa, inawezekana ndo vilivyokuwa vikwazo vya kufika hapa tulipo leo.
 
Ni kweli kawapiku kwa.
  • kuuwa,
  • kuteka,
  • kupora fedha,
  • kuwa na faili Milembe (kama livyosema mzee Diallo),
  • kupiga watu risasi,
  • kutukana matusi hadharani,
..n.k
You can go to hell./ Hospitali, barabara, bvijiji vyote 2022 kupata umeme sasa hivi ni 2000 to havijapata umeme, Boats Nywasa, Ziwa Victore etc, Mwendo kasi kuanza kufanya kazi yalikuwa yamelala bila sababu ya kueleweka. Miezi tu mmesahau haya yote. Elimu Bure., Uchumi wa Kati Fasta- kabla ya myda ukuokadiriwa. Elimu Butre mpaka form Fiur. Huduma za afya zimeboreswah., Mengine malizia nimeshinda kytype. Kumaliza kero za wananchipoapo kwa papo. Utalii kushamori! Watanzania kujitambua na kujiamini. Na kuondokana na dhana sisi ni masikini we are not!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…