LGE2024 Taasisi ya FOTO: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulikuwa na Huru na Haki

LGE2024 Taasisi ya FOTO: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulikuwa na Huru na Haki

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Haya tuendelee na unafiki!

=====



Taasisi ya Focus on Tanzania (FOTO) imesema imeridhishwa na mchakato wote wa uchaguzi kwa namna ulivyoendesha kwa mujibu wa utafiti waliofanya na kuthibitisha kuwa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mwaka 2024 umekuwa wa huru na haki.

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi mtendaji wa taasisi hiyo Ndugu Walles Mayunga ambapo ameeleza kuwa uchaguzi huu umefata kanuni na taratibu za kitaifa na kimataifa licha ya kuwepo kwa malalamiko kutoka kwa baadhi ya wafuasi wa vyama vya siasa.

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Amesisitiza kuwa katika kila uchaguzi kunakuwa na misingi, kanuni na taratibu ambazo zinaongoza uchaguzi huo na ambazo zinatakiwa kufatwa wakati wote wa mchakato wa uchaguzi.

Aidha amewataka vijana kote nchini kuacha kutumika vibaya na baadhi ya wanasiasa ambao kwa masilahi yao wanawatumia vijana kuingia barabarani na kuandamana wakipinga uchaguzi ambao umemalizika kuwa haukuwa wa huru na haki kitu ambacho amesema ni kinyume na sheria
 
Taasisi ya Focus on Tanzania (FOTO) imesema imeridhishwa na mchakato wote wa uchaguzi kwa namna ulivyoendesha kwa mujibu wa utafiti waliofanya na kuthibitisha kuwa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mwaka 2024 umekuwa wa huru na haki.

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi mtendaji wa taasisi hiyo Ndugu Walles Mayunga ambapo ameeleza kuwa uchaguzi huu umefata kanuni na taratibu za kitaifa na kimataifa licha ya kuwepo kwa malalamiko kutoka kwa baadhi ya wafuasi wa vyama vya siasa.

Amesisitiza kuwa katika kila uchaguzi kunakuwa na misingi, kanuni na taratibu ambazo zinaongoza uchaguzi huo na ambazo zinatakiwa kufatwa wakati wote wa mchakato wa uchaguzi.

Aidha amewataka vijana kote nchini kuacha kutumika vibaya na baadhi ya wanasiasa ambao kwa masilahi yao wanawatumia vijana kuingia barabarani na kuandamana wakipinga uchaguzi ambao umemalizika kuwa haukuwa wa huru na haki kitu ambacho amesema ni kinyume na sheria.
 
Wakuu,

Haya tuendelee na unafiki!

=====

View attachment 3165003

Taasisi ya Focus on Tanzania (FOTO) imesema imeridhishwa na mchakato wote wa uchaguzi kwa namna ulivyoendesha kwa mujibu wa utafiti waliofanya na kuthibitisha kuwa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mwaka 2024 umekuwa wa huru na haki.

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi mtendaji wa taasisi hiyo Ndugu Walles Mayunga ambapo ameeleza kuwa uchaguzi huu umefata kanuni na taratibu za kitaifa na kimataifa licha ya kuwepo kwa malalamiko kutoka kwa baadhi ya wafuasi wa vyama vya siasa.

Amesisitiza kuwa katika kila uchaguzi kunakuwa na misingi, kanuni na taratibu ambazo zinaongoza uchaguzi huo na ambazo zinatakiwa kufatwa wakati wote wa mchakato wa uchaguzi.

Aidha amewataka vijana kote nchini kuacha kutumika vibaya na baadhi ya wanasiasa ambao kwa masilahi yao wanawatumia vijana kuingia barabarani na kuandamana wakipinga uchaguzi ambao umemalizika kuwa haukuwa wa huru na haki kitu ambacho amesema ni kinyume na sheria
Huyu ni MAVI sana, anaishi kweli Tanzania???
 
Wakuu,

Haya tuendelee na unafiki!

=====

View attachment 3165003

Taasisi ya Focus on Tanzania (FOTO) imesema imeridhishwa na mchakato wote wa uchaguzi kwa namna ulivyoendesha kwa mujibu wa utafiti waliofanya na kuthibitisha kuwa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mwaka 2024 umekuwa wa huru na haki.

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi mtendaji wa taasisi hiyo Ndugu Walles Mayunga ambapo ameeleza kuwa uchaguzi huu umefata kanuni na taratibu za kitaifa na kimataifa licha ya kuwepo kwa malalamiko kutoka kwa baadhi ya wafuasi wa vyama vya siasa.

Amesisitiza kuwa katika kila uchaguzi kunakuwa na misingi, kanuni na taratibu ambazo zinaongoza uchaguzi huo na ambazo zinatakiwa kufatwa wakati wote wa mchakato wa uchaguzi.

Aidha amewataka vijana kote nchini kuacha kutumika vibaya na baadhi ya wanasiasa ambao kwa masilahi yao wanawatumia vijana kuingia barabarani na kuandamana wakipinga uchaguzi ambao umemalizika kuwa haukuwa wa huru na haki kitu ambacho amesema ni kinyume na sheria
Mwanamme mzima haoni haya kuwa mnafiki to such extent!
 
Wakuu,

Haya tuendelee na unafiki!

=====

View attachment 3165003

Taasisi ya Focus on Tanzania (FOTO) imesema imeridhishwa na mchakato wote wa uchaguzi kwa namna ulivyoendesha kwa mujibu wa utafiti waliofanya na kuthibitisha kuwa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mwaka 2024 umekuwa wa huru na haki.

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi mtendaji wa taasisi hiyo Ndugu Walles Mayunga ambapo ameeleza kuwa uchaguzi huu umefata kanuni na taratibu za kitaifa na kimataifa licha ya kuwepo kwa malalamiko kutoka kwa baadhi ya wafuasi wa vyama vya siasa.

Amesisitiza kuwa katika kila uchaguzi kunakuwa na misingi, kanuni na taratibu ambazo zinaongoza uchaguzi huo na ambazo zinatakiwa kufatwa wakati wote wa mchakato wa uchaguzi.

Aidha amewataka vijana kote nchini kuacha kutumika vibaya na baadhi ya wanasiasa ambao kwa masilahi yao wanawatumia vijana kuingia barabarani na kuandamana wakipinga uchaguzi ambao umemalizika kuwa haukuwa wa huru na haki kitu ambacho amesema ni kinyume na sheria
Jina lenyewe FOTO. FOTO uchwara kabisa
 
sasa wasemeje ? Taasisi nyingine ni state agencies zipo kwa ajili ya kubariki mipango flani serikalini.
 
Wakuu,

Haya tuendelee na unafiki!

=====

View attachment 3165003

Taasisi ya Focus on Tanzania (FOTO) imesema imeridhishwa na mchakato wote wa uchaguzi kwa namna ulivyoendesha kwa mujibu wa utafiti waliofanya na kuthibitisha kuwa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mwaka 2024 umekuwa wa huru na haki.

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi mtendaji wa taasisi hiyo Ndugu Walles Mayunga ambapo ameeleza kuwa uchaguzi huu umefata kanuni na taratibu za kitaifa na kimataifa licha ya kuwepo kwa malalamiko kutoka kwa baadhi ya wafuasi wa vyama vya siasa.

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Amesisitiza kuwa katika kila uchaguzi kunakuwa na misingi, kanuni na taratibu ambazo zinaongoza uchaguzi huo na ambazo zinatakiwa kufatwa wakati wote wa mchakato wa uchaguzi.

Aidha amewataka vijana kote nchini kuacha kutumika vibaya na baadhi ya wanasiasa ambao kwa masilahi yao wanawatumia vijana kuingia barabarani na kuandamana wakipinga uchaguzi ambao umemalizika kuwa haukuwa wa huru na haki kitu ambacho amesema ni kinyume na sheria
Hawa FOTO ni machawa wa ccm!
 
Unaona sasa, kumbe tulikuwa tunadanganywa mitandaoni eti uchaguzi una shida
 
Wakuu,

Haya tuendelee na unafiki!

=====

View attachment 3165003

Taasisi ya Focus on Tanzania (FOTO) imesema imeridhishwa na mchakato wote wa uchaguzi kwa namna ulivyoendesha kwa mujibu wa utafiti waliofanya na kuthibitisha kuwa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mwaka 2024 umekuwa wa huru na haki.

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi mtendaji wa taasisi hiyo Ndugu Walles Mayunga ambapo ameeleza kuwa uchaguzi huu umefata kanuni na taratibu za kitaifa na kimataifa licha ya kuwepo kwa malalamiko kutoka kwa baadhi ya wafuasi wa vyama vya siasa.

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Amesisitiza kuwa katika kila uchaguzi kunakuwa na misingi, kanuni na taratibu ambazo zinaongoza uchaguzi huo na ambazo zinatakiwa kufatwa wakati wote wa mchakato wa uchaguzi.

Aidha amewataka vijana kote nchini kuacha kutumika vibaya na baadhi ya wanasiasa ambao kwa masilahi yao wanawatumia vijana kuingia barabarani na kuandamana wakipinga uchaguzi ambao umemalizika kuwa haukuwa wa huru na haki kitu ambacho amesema ni kinyume na sheria
Ndugu wa twangafotoo je mlitwanga fotoo kutudhihirishia uhuru wake na haki mlizoziona?
 
Ndio kwanza naisikia leo, hivyo vipeperushi vya CCM kwa mwavuli wa taaasisi huwa vinaibuka nyakati kama hizi kujaribu kufanya damage control ila kwa hili la uchaguzi wamefeli teknolojia imewaumbua mchana kweupe.

Video za majizi ya kura zipo za kutosha sijui wanafikiri wanadanganya watanzania waliokuwa hawana TV kwa wingi miaka hiyo wakisubiria kupata habari RTD na magazeti ya CCM.
 
Wakuu,

Haya tuendelee na unafiki!

=====

View attachment 3165003

Taasisi ya Focus on Tanzania (FOTO) imesema imeridhishwa na mchakato wote wa uchaguzi kwa namna ulivyoendesha kwa mujibu wa utafiti waliofanya na kuthibitisha kuwa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mwaka 2024 umekuwa wa huru na haki.

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi mtendaji wa taasisi hiyo Ndugu Walles Mayunga ambapo ameeleza kuwa uchaguzi huu umefata kanuni na taratibu za kitaifa na kimataifa licha ya kuwepo kwa malalamiko kutoka kwa baadhi ya wafuasi wa vyama vya siasa.

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Amesisitiza kuwa katika kila uchaguzi kunakuwa na misingi, kanuni na taratibu ambazo zinaongoza uchaguzi huo na ambazo zinatakiwa kufatwa wakati wote wa mchakato wa uchaguzi.

Aidha amewataka vijana kote nchini kuacha kutumika vibaya na baadhi ya wanasiasa ambao kwa masilahi yao wanawatumia vijana kuingia barabarani na kuandamana wakipinga uchaguzi ambao umemalizika kuwa haukuwa wa huru na haki kitu ambacho amesema ni kinyume na sheria
Kupata vichekesho vya kinafiki tunabonyeza namba zipi?
 
Back
Top Bottom