VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,900
- 581
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Salma Kikwete (kulia) akizindua nembo ya (HMT) kwaajili ya uzinduzi ya Taasisi ya Hassan Maajar Trust na kuanzisha kampeni ya kusaidia kutokomeza uhaba wa madawati mashuleni jijini Dar es Salaam (juni 11.2011) (kushoto) ni Makamu Mwenyekiti wa Taasisis hiyo Shariff Hassan Maajar ,akifuatiwa na Mwenyekiti wa HMT Balozi Mwanaidi Maajar[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete (kulia) leo (julai 11,2011) akibadilishana mawazo na Seneta JACKIE WINTERS kutoka Marekani (kushoto) alipomtembelea ofisini kwake jijii Dae re Salaam .[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Mwalimu mkuu shule ya msingi ya Amani DSM Eliwaza Shirima akichangia kwenye mkutano[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[/TABLE]
Kama huyu balozi huko marekani anaweza serikali yake imeshindwa nini?
au huu ni mradi wa kuombea hela matajiri wa marekani kwa kisingizio cha madawati?
mama salima anauzindua TAASISI ya mabozi kama nani?
inapobeba jina la mwanafamilia wa balozi na kuzinduliwa na balozi na first lady kuna hapa?
[TR]
[TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Salma Kikwete (kulia) akizindua nembo ya (HMT) kwaajili ya uzinduzi ya Taasisi ya Hassan Maajar Trust na kuanzisha kampeni ya kusaidia kutokomeza uhaba wa madawati mashuleni jijini Dar es Salaam (juni 11.2011) (kushoto) ni Makamu Mwenyekiti wa Taasisis hiyo Shariff Hassan Maajar ,akifuatiwa na Mwenyekiti wa HMT Balozi Mwanaidi Maajar[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete (kulia) leo (julai 11,2011) akibadilishana mawazo na Seneta JACKIE WINTERS kutoka Marekani (kushoto) alipomtembelea ofisini kwake jijii Dae re Salaam .[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Mwalimu mkuu shule ya msingi ya Amani DSM Eliwaza Shirima akichangia kwenye mkutano[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[/TABLE]
Kama huyu balozi huko marekani anaweza serikali yake imeshindwa nini?
au huu ni mradi wa kuombea hela matajiri wa marekani kwa kisingizio cha madawati?
mama salima anauzindua TAASISI ya mabozi kama nani?
inapobeba jina la mwanafamilia wa balozi na kuzinduliwa na balozi na first lady kuna hapa?