Taasisi ya kuzuia Rushwa Kenya inaonesha jinsi ya kupunguza rushwa ya matrafiki

Taasisi ya kuzuia Rushwa Kenya inaonesha jinsi ya kupunguza rushwa ya matrafiki

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Waswahili wanasemaga kuwa iga kilicho bora.

Takukuru ya nchini Kenya inaonyesha jinsi ya angalau kupunguza rushwa ya matraffic nchini humo.

Hii style ingetufaa hapa kwetu maana haina haja ya upelelezi tena hapo.

 
They didn't show why they took that action for ?.
 
Wakiwakamata wanawapeleka wapi? Wana selo zao? Waendesha mashtaka wao. Maana kama wanawapeleka polisi na waendesha mashtaka wa serikali kesi imeisha hiyo.
Rwanda pale wana mfumo wao Trafki hawakai kivikundi. Ni mmoja kila baada ya kilomita kadhaa. Uvuke rusumo uje ukamatiwe kigari. Trafki wote waliokuruhusu kupita njia nzima watakuwa na wakati mgumu. Pamoja na changamoto zake nandhani hii kidogo inaleta uwajibikaji
 
Taasisi ya kuzuia rushwa inapokuwa na bajeti ndogo kuliko rushwa yenyewe, matokeo hufurahisha
 
Back
Top Bottom