Taasisi ya MO Dewji yabisha hodi kwa Waziri Aweso, inataka kuchimba Visima vya maji sehemu zisizo na Maji safi na salama

Taasisi ya MO Dewji yabisha hodi kwa Waziri Aweso, inataka kuchimba Visima vya maji sehemu zisizo na Maji safi na salama

Pfizer

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2021
Posts
590
Reaction score
807
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amekutana na kufaya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya MO Dewji, Imran Sherali ambaye ameambatana na Mbunge wa Singida Kaskazini, Mhe. Ighondo Ramadhani na mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Bupe Mwakang’ate jijini ofisi ndogo za Wizara ya Maji DUWASA jijini Dodoma.

Taasisi ya MO Dewji kupitia Mkurugenzi Mtendaji wake imesema ina lengo la kushirikiana na Wizara ya Maji katika utekelezaji wa miradi ya maji hasa katika uchimbaji wa visima hususani maeneo yenye changamoto ya vyanzo vya Maji kama Mkoa wa Singida pamoja na uboreshaji wa miuondombinu ya Maji.

Waziri Aweso akizungumza baada ya maelezo ya Bwana Imran, ameikaribisha Taasisi hiyo na kusema kwamba milango iko wazi ili kuweza kushirikiana na serikali ya awamu ya sita katika masuala ya maji na kueleza ni kwa namna gani Sekta ya Maji imekua ikifanya kazi kwa mashirikiano na wadau mbalimbali lengo ikiwa ni kuhakikisha mwana Mama anatuliwa ndoo kichwani.
IMG-20240629-WA0009.jpg
IMG-20240629-WA0010.jpg
IMG-20240629-WA0011.jpg
IMG-20240629-WA0012.jpg
IMG-20240629-WA0013.jpg
IMG-20240629-WA0014.jpg
 
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amekutana na kufaya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya MO Dewji, Imran Sherali ambaye ameambatana na Mbunge wa Singida Kaskazini, Mhe. Ighondo Ramadhani na mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Bupe Mwakang’ate jijini ofisi ndogo za Wizara ya Maji DUWASA jijini Dodoma.

Taasisi ya MO Dewji kupitia Mkurugenzi Mtendaji wake imesema ina lengo la kushirikiana na Wizara ya Maji katika utekelezaji wa miradi ya maji hasa katika uchimbaji wa visima hususani maeneo yenye changamoto ya vyanzo vya Maji kama Mkoa wa Singida pamoja na uboreshaji wa miuondombinu ya Maji.

Waziri Aweso akizungumza baada ya maelezo ya Bwana Imran, ameikaribisha Taasisi hiyo na kusema kwamba milango iko wazi ili kuweza kushirikiana na serikali ya awamu ya sita katika masuala ya maji na kueleza ni kwa namna gani Sekta ya Maji imekua ikifanya kazi kwa mashirikiano na wadau mbalimbali lengo ikiwa ni kuhakikisha mwana Mama anatuliwa ndoo kichwani.
View attachment 3028977View attachment 3028978View attachment 3028979View attachment 3028980View attachment 3028981View attachment 3028982
Ighondu Ramadhani huyu katili aliyemteka na kumtesa karibia ya kumuua Dr. Ulimboka leo kawa mbunge , bure kabisa hao waliomchagua muuaji.
 
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amekutana na kufaya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya MO Dewji, Imran Sherali ambaye ameambatana na Mbunge wa Singida Kaskazini, Mhe. Ighondo Ramadhani na mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Bupe Mwakang’ate jijini ofisi ndogo za Wizara ya Maji DUWASA jijini Dodoma.

Taasisi ya MO Dewji kupitia Mkurugenzi Mtendaji wake imesema ina lengo la kushirikiana na Wizara ya Maji katika utekelezaji wa miradi ya maji hasa katika uchimbaji wa visima hususani maeneo yenye changamoto ya vyanzo vya Maji kama Mkoa wa Singida pamoja na uboreshaji wa miuondombinu ya Maji.

Waziri Aweso akizungumza baada ya maelezo ya Bwana Imran, ameikaribisha Taasisi hiyo na kusema kwamba milango iko wazi ili kuweza kushirikiana na serikali ya awamu ya sita katika masuala ya maji na kueleza ni kwa namna gani Sekta ya Maji imekua ikifanya kazi kwa mashirikiano na wadau mbalimbali lengo ikiwa ni kuhakikisha mwana Mama anatuliwa ndoo kichwani.
View attachment 3028977View attachment 3028978View attachment 3028979View attachment 3028980View attachment 3028981View attachment 3028982
Huyu muuaji Ramadhan Ighondo leo kawa mbunge!!!
 
Back
Top Bottom