Taasisi ya ndoa inahitaji maboresho kuendana na wakati

Taasisi ya ndoa inahitaji maboresho kuendana na wakati

RaiaMimi

Member
Joined
Jun 3, 2021
Posts
11
Reaction score
51
1643698464151.png

Habari wandugu,

Hii taasisi ya ndoa naona inahitaji maboresho makubwa kuendana na wakati kwani kwa sasa mitazamo na tabia za watu zimebadirika sana.

Hivyo kubaki na taasisi yenye misingi ile ile kwa miaka na miaka si jambo sahihi. Ndio maana sasa ndoa zinavunjika, wanandoa wanasababishiana madhara.

Kwanini sasa tusikubali ndoa za mikataba kama wenzetu? Ili angalau ukiona ndoa haikizi mahitaji yako unajua kabisa baada ya mwaka mkataba utaisha na namna ya kutoka imeelezwa vyema na mlikubaliana pamoja. Kuliko hii ya sasa unaingia kwa mapenzi (na mapenzi yenyewe ndio haya upofu unakuja zinduka baadae unaona daaah kumbe sikuwa na taarifa za kutosha) na ikifika wakati wa kutoka Mume lazima apate hasara kiuchumi.

Kwanini sasa tusianze kusupport pre-nuptials?
 
Kenya walibadirisha Sheria ..baada ya kuona wanaume wana mipango Mingi ya kando..wakaamua wawawekee na Sheria wawe huru kabisa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
ndoa ndo kwanza ina mwaka na tayari umeanza kuleta miswada kama hii. au umeichoka?
Hapana Mkuu sijaichoka.

Ila niulize swali, unatakiwa kufanya nini endapo umeingia kwenye ndoa na mdada ukitarajia baada ya muda mtapata watoto wenu. Unakuja gundua mdada alishatumiaga maP2 na masindano ya uzazi na baada ya ndoa uzazi umekuwa wa shida kwenu?
 
Hapana Mkuu sijaichoka.

Ila niulize swali, unatakiwa kufanya nini endapo umeingia kwenye ndoa na mdada ukitarajia baada ya muda mtapata watoto wenu. Unakuja gundua mdada alishatumiaga maP2 na masindano ya uzazi na baada ya ndoa uzazi umekuwa wa shida kwenu?
Kwanini ndoa sisiwe "easy entry easy exit"?
 
Back
Top Bottom