luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
SSRA ni chombo chenye mamlaka ya kusimamia mifuko ya hifadhi hapa nchini
Lakini wanufaika wa hiyo mifuko ya hifadhi wengi kwa sasa wanalalamikia kutopata huduma wakati stahiki lkn chombo hiki kipo kimyaaa
Yaan sijui hawapo responsible ? Sijui wana regulate nini bila kusikia end-user anafaidikaje
Lakini wanufaika wa hiyo mifuko ya hifadhi wengi kwa sasa wanalalamikia kutopata huduma wakati stahiki lkn chombo hiki kipo kimyaaa
Yaan sijui hawapo responsible ? Sijui wana regulate nini bila kusikia end-user anafaidikaje