Taasisi ya ustawi wa jamii tunawaomba mrekebishe mtandao wenu kwani haifunguki na hata kufunguka ni kwa shida.
Mnawasumbua wanafunzi wanaotaka kusoma katika chuo chenu muache kujiendesha kwa mifumo ya kizaman Dunia sasaiv ipo kwenye tehama
Mnawakatisha tamaa wanajiuliza kama website rasmi ya chuo ndio Iko hivyo je huko kwenye masomo itakuaje
Naomba kuwasilisha
Mnawasumbua wanafunzi wanaotaka kusoma katika chuo chenu muache kujiendesha kwa mifumo ya kizaman Dunia sasaiv ipo kwenye tehama
Mnawakatisha tamaa wanajiuliza kama website rasmi ya chuo ndio Iko hivyo je huko kwenye masomo itakuaje
Naomba kuwasilisha