BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Habari za muda,
Je, ni taasisi binafisi zipi za kuaminika za kupata mikopo nchini ambazo unazifahamu. Naomba nijuze mtanzania mwenzangu.
Asante.
kuaminika kivipi?? kama kwa riba Taasisi zote za fedha za Tanzania zote ni wezi kama baba yao CCM