Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
kama kuna watu wanafanya hivyo kukaa nyuma computer hilo ndio litakuwa chanzo cha hayo madhara ,itawabidi wabadilishe tabia hiyo na badala yake waikalie usoni (mbele yake)Binafsi sijapatapo kusikia au kuona matumizi ya aina hiyo ya kuikalia nyuma computer.
kama kuna watu wanafanya hivyo kukaa nyuma computer hilo ndio litakuwa chanzo cha hayo madhara ,itawabidi wabadilishe tabia hiyo na badala yake waikalie usoni (mbele yake)Binafsi sijapatapo kusikia au kuona matumizi ya aina hiyo ya kuikalia nyuma computer.
kama kuna watu wanafanya hivyo kukaa nyuma computer hilo ndio litakuwa chanzo cha hayo madhara ,itawabidi wabadilishe tabia hiyo na badala yake waikalie usoni (mbele yake)Binafsi sijapatapo kusikia au kuona matumizi ya aina hiyo ya kuikalia nyuma computer.
lazima kutakuwa na madhara kiafya, kama si ya muda mfupi basi hata long-term.
cha muhimu
1) kujaribu kutokuikaribia sana PC
2) kuna kioo maalum waweza kuweka juu ya screen ya PC ili kupunguza madhara
3) mara kwa mara uwe either unaangalia kwingine ama kutembeatembea hata humo ofisini
Wakuu mliobobea kwenye fani ya utabibu naomba mnisaidie..mimi ni MO na hivyo sijawa daktari kamili MD..sasa ndugu yangu mmoja alinifuata akiwa na tatizo la muda mrefu la kutokwa na vijipele na akikuna kinakuwa kijidonda kwenye uume wake wote kuanzia kichwa mpaka shina..akaenda kupima vipimo vyote kuanzia kaswende, gono na pia AIDS kukawa hakuna kitu..wakamwambia ni fungus..hata mi ningefikiria hivyo..akapewa dawa ya kupaka ya fungus akapata nafuu..after one month vikarudia tena akaenda kupima tena hakuna kitu akapewa dawa ileile na tena akapata nafuu..miezi mi3 ikapita ikarudia ile hali akapima vipimo vyote ikawa negative..sasa hata akitumia hiyo dawa ya fungus hapati nafuu na inampa shida kweli..akaniambia mimi nikakosa jibu upeo wangu uliishia hapo walipofanya wengine..naombeni mchango wenu wakuu nimsaidie jamaa yangu mana hali si nzuri.
Wakuu mliobobea kwenye fani ya utabibu naomba mnisaidie..mimi ni MO na hivyo sijawa daktari kamili MD..sasa ndugu yangu mmoja alinifuata akiwa na tatizo la muda mrefu la kutokwa na vijipele na akikuna kinakuwa kijidonda kwenye uume wake wote kuanzia kichwa mpaka shina..akaenda kupima vipimo vyote kuanzia kaswende, gono na pia AIDS kukawa hakuna kitu..wakamwambia ni fungus..hata mi ningefikiria hivyo..akapewa dawa ya kupaka ya fungus akapata nafuu..after one month vikarudia tena akaenda kupima tena hakuna kitu akapewa dawa ileile na tena akapata nafuu..miezi mi3 ikapita ikarudia ile hali akapima vipimo vyote ikawa negative..sasa hata akitumia hiyo dawa ya fungus hapati nafuu na inampa shida kweli..akaniambia mimi nikakosa jibu upeo wangu uliishia hapo walipofanya wengine..naombeni mchango wenu wakuu nimsaidie jamaa yangu mana hali si nzuri.
Wakuu mliobobea kwenye fani ya utabibu naomba mnisaidie..mimi ni MO na hivyo sijawa daktari kamili MD..sasa ndugu yangu mmoja alinifuata akiwa na tatizo la muda mrefu la kutokwa na vijipele na akikuna kinakuwa kijidonda kwenye uume wake wote kuanzia kichwa mpaka shina..akaenda kupima vipimo vyote kuanzia kaswende, gono na pia AIDS kukawa hakuna kitu..wakamwambia ni fungus..hata mi ningefikiria hivyo..akapewa dawa ya kupaka ya fungus akapata nafuu..after one month vikarudia tena akaenda kupima tena hakuna kitu akapewa dawa ileile na tena akapata nafuu..miezi mi3 ikapita ikarudia ile hali akapima vipimo vyote ikawa negative..sasa hata akitumia hiyo dawa ya fungus hapati nafuu na inampa shida kweli..akaniambia mimi nikakosa jibu upeo wangu uliishia hapo walipofanya wengine..naombeni mchango wenu wakuu nimsaidie jamaa yangu mana hali si nzuri.
Kwa yeyote anayehitaji ushauri wa uhakika juu ya athari za vitu kama hivyo(emerging technology health risks and intervention to reduce risks) anitafute, kwa kuanzia anitumie pm nimpe private contacts. Nina PHD ya Occupational medicine so am confident na ushauri ninaotoa. Kama kawa sitoi ushauri bure, charge ni USD 200 per hour, so if you can manage the price, lets get in business.
NB; Kama huna hela unaweza kupata ushauri wa bure, kuna maprofesa wengi pale Muhimbili, but i doubt kwani wengi hata kufungua e mail hawajui.
Thanks and welcome
Namaanisha ' to sit behind the PC' nikiwa na maana ya 'kutumia kompyuta' sio vinginevyo!
Hebu give back to the community jamani.If u r capable of charging and making that much, for sure you can spare sometime for the community as part of ur social responsibilities.I am sure hata wewe unafaidika na michango ya wengine humu JF au unataka kusema wengine hawaijui hela?
Niko pamoja nawe WOS...jamaa kawa mkavu sana....ushari tu kwa tanzania unacharge dola 200 ohh noooooo...
Kweli watu watapata matibabu?Kama ushauri ndio huu?Matibabu yatakuwa ni 700USD sasa.
C'mon
Namaanisha ' to sit behind the PC' nikiwa na maana ya 'kutumia kompyuta' sio vinginevyo!
NB; Kama huna hela unaweza kupata ushauri wa bure, kuna maprofesa wengi pale Muhimbili, but i doubt kwani wengi hata kufungua e mail hawajui.
Thanks and welcome