Tabasamu si mbunge wa kuwa chama tawala jamaa ni mzalendo kwelikweli

Tabasamu si mbunge wa kuwa chama tawala jamaa ni mzalendo kwelikweli

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Inasemekana elimu yake ni darasa la saba lkn kwa namna anavyojenga hoja hakika huyu ndugu huko alipo kwa maana upande wa wapiga makofi anapoteza muda wake.

Tabasamu kwa aina ya biashara zake na kwa anayoyaongea bungeni ni wazi ni mtu safi na hana makando-kando ndiyo maana uthubutu wa kuyanena hayo anao.

Tabasamu ni mzalendo sana kwa nchi yake!

Viva bwana Tabasamu na kwa unayoendelea kuyafichua nakuombea kwa Mungu akulinde ili wabaya wasikuumize.

Natabiri uchaguzi ujao huyo mwamba atahamia upande wa pili ili awe Huru zaidi.
 
Judi ameleza hadi mbuzi anamuisha mbushiiiii..

Na ana demu anaitwa Suzy atamwitwa...!?? - Roma mkatoliki.

Mkuu acha tuone hizo sifa ulizotoa kama anazo... Tujipe muda...
 
Inasemekana elimu yake ni darasa la saba lkn kwa namna anavyojenga hoja hakika huyu ndugu huko alipo kwa maana upande wa wapiga makofi anapoteza muda wake.

Tabasamu kwa aina ya biashara zake na kwa anayoyaongea bungeni ni wazi ni mtu safi na hana makando-kando ndiyo maana uthubutu wa kuyanena hayo anao.

Tabasamu ni mzalendo sana kwa nchi yake!

Viva bwana Tabasamu na kwa unayoendelea kuyafichua nakuombea kwa Mungu akulinde ili wabaya wasikuumize.

Natabiri uchaguzi ujao huyo mwamba atahamia upande wa pili ili awe Huru zaidi.
Amekutuma uje umsifie?
 
Inasemekana elimu yake ni darasa la saba lkn kwa namna anavyojenga hoja hakika huyu ndugu huko alipo kwa maana upande wa wapiga makofi anapoteza muda wake.

Tabasamu kwa aina ya biashara zake na kwa anayoyaongea bungeni ni wazi ni mtu safi na hana makando-kando ndiyo maana uthubutu wa kuyanena hayo anao.

Tabasamu ni mzalendo sana kwa nchi yake!

Viva bwana Tabasamu na kwa unayoendelea kuyafichua nakuombea kwa Mungu akulinde ili wabaya wasikuumize.

Natabiri uchaguzi ujao huyo mwamba atahamia upande wa pili ili awe Huru zaidi.
Kwahiyo chama tawala si wazalendo?🤣🤣
 
nikimwona mwanamke anaandika jamaa namwogopa
 
mwanasiasa mzalendo sababu ya porojo zake bungeni?!!!??!!, wazalendo wako mashambani wanalima chini ya jua hili wanazalisha kwenye hali ngumu lakini ndio wanalisha nchi hii tunapata na ziada ya kuweka akiba na kuuza nje, hwajui kutoa rushwa hawa ni wao na MUNGU wao. Wafanyakazi wanaofanya kazi kwa bidii mishahara haitoshelezi mahitaji yao, waone walimu, wauguzi,madereva,wafagia mabarabara wao wanaamkia kazini alfajiri kwa mguu hamna cha VX wala V8 wanawajibika mchana kutwa hakuna cha posho ni mshahara tu tena haukidhi lakini wanachapa kazi kwa mmoja!!!! MZALENDO
 
Ahaaa! Kumbe Tabasam alikuwa CDM? Sasa naona tofauti ya Maccm na watu wenye akili. 2025 Wahuni watampitisha Ngeleja na Tabasamu atalazimika kurudi CDM au aendelee na biashara zake
 
Back
Top Bottom