Huko hakuna mkuu....ila jaribu baracudaWakuu kwema.
Nipo mitaa ya Tabata na viwanja vyake huu usiku. Nilikua nauliza "huduma za kijamii" huku Zinapatikana wapi? Eneo zuri kidogo sio kama lile la Ubungo Riverside au Corner Bar watu wengi sana, tena bystanders.
Najua kuna Corona, AIDS, etc ila nitachukua tafadhali zote. Asante.
Hapo KITAMBAA CHEUPE utapata tu, nimeshuka kwenye basi hapa Mbezi nakuja pande za Segerea mwishoWakuu kwema.
Nipo mitaa ya Tabata na viwanja vyake huu usiku. Nilikua nauliza "huduma za kijamii" huku Zinapatikana wapi? Eneo zuri kidogo sio kama lile la Ubungo Riverside au Corner Bar watu wengi sana, tena bystanders.
Najua kuna Corona, AIDS, etc ila nitachukua tafadhali zote. Asante.
unatokea wapi mkuuHapo KITAMBAA CHEUPE utapata tu, nimeshuka kwenye basi hapa Mbezi nakuja pande za Segerea mwisho
Nimetoka Kahama nikaungaunga magari hadi hapa Mbezi. Nimeshuka na Kahama Coachunatokea wapi mkuu
mm nimeshuka mbezi hapo mida si mingi na ngalangala ABOOD ya mwanza