Tabata inaongoza kwa maambukizi wilaya ya ilala!!

Chanazi

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2010
Posts
212
Reaction score
64
nimepata taarifa kua, takwimu zinaonesha kua Tabata inaongoza kwa maambukizi ya Ukimwi kwa wilaya ya ilala na takwimu hizi zipo kwa mganga mkuu wa wilaya ya Ilala kwenye ofisi yake, Hospital ya Amana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…