Tabata Kisiwani walipuka kwa furaha jirani yao Emmanuel Nchimbi kupitishwa kuwa Makamu wa Rais Mtarajiwa

Tabata Kisiwani walipuka kwa furaha jirani yao Emmanuel Nchimbi kupitishwa kuwa Makamu wa Rais Mtarajiwa

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Mwaka 1983 Mzee wangu alihamia Tabata,kipindi hicho kikiwa ni kitongoji duni kabisa,maji shida,barabara mbovu ,kumepoa.

Taratibu mpaka mwanzoni mwa miaka ya 2000 Tabata inaanza kuchangamka,tunapata jirani ambaye ni Mzee John Alphonso Nchimbi,nyumba yake inaangaliana na nyumba yetu.

Wazee hawa wanashikana urafiki maana ni age mates,.na wanafariki kwa kupishana miaka mitatu tu.
Mzee wangu akifariki 2019,na Mzee Nchimbi 2022.

Sikuwahi kuota kuwa Emmanuel Nchimbi angekuja kuwa mtu mkubwa,harakati zake za kisiasa kuanzia UVCCM niliona ni kupoteza muda,connection alizokuwa nazo mzee wake,niliamini kwa elimu yake angeingia serikalini angekuwa mbali...

unamkumbuka Dj Rankim Ramadhan,huyu baba yake alikuwa kiongozi enzi za Mwinyi na Mkapa akiitwa Ramadhan Nyamka.

Mimi nilikuwa rafiki wa DJ Rankim ,DJ Rankim alikuwa rafiki wa Emmanuel Nchimbi,watoto wa wakubwa enzi hizo,mimi sikuwahi kuwa karibu na Emmanuel Nchimbi. Sikupenda siasa nilipenda mlengo mwingine wa muziki.

Soma Pia: CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025


Baada ya Dk Emmanuel Nchimbi kupitishwa na mkutano mkuu kuwa mgombea mwenza wa Rais SSH,nilipata taharifa kuwa mtaani kwetu ni kama sherehe

Ombi la wana Tabata kisiwani,ukiwa VP usihamishe hiyo familia hapo Tabata japo ni uswahilini,majirani wanajisikia fahari kwa kijana wao kupata nafanikio makubwa kisiasa
 
Nchimbi ni ndugu yangu lakini hajawahi kunisaidia kwa lolote lile, kkuna ndugu zake kibao wanateseka kwa umasikini kijijini kwao hawasaidii, ngoja tuone kama atawasaidia majirani zake tabata
Lakini unajua kwamba katibu mkuu wa CCM ananguvu kuliko makamu wa araisi kimaamuzi ya nchi, kama hakuweza kuwasaidia akiwa katibu mkuu atawasaidia je akiwa makamu anae pagiwa protocol na Usalama wa nchi
 
Kuna mtu alisikika akisema mkipata makamu wa RAIS mchawi anaweza kumroga RAIS na yeye akatwaa madaraka_ unknown
Maraisi wa Africa wenye kua na vyeo vya wamakamu hawakae karibu nao au kuzoeana na makamu wao anaweza akamalizi miezi mitatu hawajak kutana, ni nadra sana kuwakuta kwenye sherehe moja, lengo wanaogopana kuliahwa sumu au kurogana.
 
Maraisi wa Africa wenye kua na vyeo vya wamakamu hawakae karibu nao au kuzoeana na makamu wao anaweza akamalizi miezi mitatu hawajak kutana, ni nadra sana kuwakuta kwenye sherehe moja, lengo wanaogopana kuliahwa sumu au kurogana.
Unabii wa paschal unaenda kutimia namwona nchimbi pale juu..

Mitano Tena kwa mama
 
Unabii wa paschal unaenda kutimia namwona nchimbi pale juu..

Mitano Tena kwa mama
Sio rahisi mama analindwa na kushauriwa na wabobezi wa siasa pamoja na usalama hayo makosa yalio tokea kule nyuma hayawezi kujurudia "in politics don't trust even your self" mama hawezi kumuamini sanaa huyu makamu wake.
 
JK sijui ilikuwaje akawa muhuni kuliko watoto wake
Mapito ya maisha....kujichanganya na Kila mtu na Kila sehemu kuna maarifa mapya unapata Kila siku.....michakato kuanzia ya 1995 mpk 2020 imemfunza mengi.....na Sasa ndo mwenyekiti pekee mstaafu ni kama remote zte anazo yy....kazi wanayo kwakwli🤠🤠🤠
 
Back
Top Bottom