Binafsi namkubali sana na life style yakeMapito ya maisha....kujichanganya na Kila mtu na Kila sehemu kuna maarifa mapya unapata Kila siku.....michakato kuanzia ya 1995 mpk 2020 imemfunza mengi.....na Sasa ndo mwenyekiti pekee mstaafu ni kama remote zte anazo yy....kazi wanayo kwakwli🤠🤠🤠
Wewe umewahi msaidia chochote?Nchimbi ni ndugu yangu lakini hajawahi kunisaidia kwa lolote lile, kkuna ndugu zake kibao wanateseka kwa umasikini kijijini kwao hawasaidii, ngoja tuone kama atawasaidia majirani zake tabata
Ni lazma ahamishiwe Makazi daraja 'A' ambapo ni MASAKI.Mwaka 1983 Mzee wangu alihamia Tabata,kipindi hicho kikiwa ni kitongoji duni kabisa,maji shida,barabara mbovu ,kumepoa.
Taratibu mpaka mwanzoni mwa miaka ya 2000 Tabata inaanza kuchangamka,tunapata jirani ambaye ni Mzee John Alphonso Nchimbi,nyumba yake inaangaliana na nyumba yetu.
Wazee hawa wanashikana urafiki maana ni age mates,.na wanafariki kwa kupishana miaka mitatu tu.
Mzee wangu akifariki 2019,na Mzee Nchimbi 2022.
Sikuwahi kuota kuwa Emmanuel Nchimbi angekuja kuwa mtu mkubwa,harakati zake za kisiasa kuanzia UVCCM niliona ni kupoteza muda,connection alizokuwa nazo mzee wake,niliamini kwa elimu yake angeingia serikalini angekuwa mbali...
unamkumbuka Dj Rankim Ramadhan,huyu baba yake alikuwa kiongozi enzi za Mwinyi na Mkapa akiitwa Ramadhan Nyamka.
Mimi nilikuwa rafiki wa DJ Rankim ,DJ Rankim alikuwa rafiki wa Emmanuel Nchimbi,watoto wa wakubwa enzi hizo,mimi sikuwahi kuwa karibu na Emmanuel Nchimbi. Sikupenda siasa nilipenda mlengo mwingine wa muziki.
Soma Pia: CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025
Baada ya Dk Emmanuel Nchimbi kupitishwa na mkutano mkuu kuwa mgombea mwenza wa Rais SSH,nilipata taharifa kuwa mtaani kwetu ni kama sherehe
Ombi la wana Tabata kisiwani,ukiwa VP usihamishe hiyo familia hapo Tabata japo ni uswahilini,majirani wanajisikia fahari kwa kijana wao kupata nafanikio makubwa kisiasa
Mwigulu si ni Mbunge wa Iramba?Hawezi kuja uko kijijini mtaishia kumroga
Haaha .Jana nimeshuhudia tabata yote watu wanabubujikwa machozi aisee hongereni Sana Huko Kwa kupata maendeleo makubwa
Tutampeleka kijiji cha Nyasa Manda huko uchawi tupo vizuri.Kuna mtu alisikika akisema mkipata makamu wa RAIS mchawi anaweza kumroga RAIS na yeye akatwaa madaraka_ unknown
Ulisikia makelele ya goli la Kibu, ukadhani tunamshangilia NchimbiTabata Kisiwani walipuka kwa furaha jirani yao Emmanuel Nchimbi kupitishwa kuwa Makamu wa Rais Mtarajiwa
Mwigulu katoka wapi mjomba?? Ni Nchimbi sio Nchemba.Mwigulu si ni Mbunge wa Iramba?
Haaahaa 😅 uchawi hauendi kwa mentaliTutampeleka kijiji cha Nyasa Manda huko uchawi tupo vizuri.
Na kweli yasitokee...maana watanganyika wote wapo na Imani kubwa na nchimbi...kusema kweli jamaa ana bahati Sana sanaaSio rahisi mama analindwa na kushauriwa na wabobezi wa siasa pamoja na usalama hayo makosa yalio tokea kule nyuma hayawezi kujurudia "in politics don't trust even your self" mama hawezi kumuamini sanaa huyu makamu wake.
Kwani ninyi hamfanyi kazi? Au kuwa ndugu wa nchimbi maana yake uwe unaishi kwa msaada?Nchimbi ni ndugu yangu lakini hajawahi kunisaidia kwa lolote lile, kkuna ndugu zake kibao wanateseka kwa umasikini kijijini kwao hawasaidii, ngoja tuone kama atawasaidia majirani zake tabata