KERO Tabata Mawenzi pamekuwa na shida ya maji zaidi ya siku 10 mpaka sasa, DAWASA Tabata hawajatoa ufafanuzi kama ni mgao wa maji umeanza

KERO Tabata Mawenzi pamekuwa na shida ya maji zaidi ya siku 10 mpaka sasa, DAWASA Tabata hawajatoa ufafanuzi kama ni mgao wa maji umeanza

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Mapato yanayopatikana kwenye malipo ya maji si yangeboresha upatikanaji wa maji, na kama inawezekana wafanye utafiti wa kuchimba visima vikuu vya kila wilaya kuliko kusubiri maji ya mto Ruvu maana maji tunayachota yana chumvi nyingi hayafai kwa afya ya tumbo

images (41).jpeg
images (40).jpeg
 
Back
Top Bottom