Tabia hii ya Ufoo Saro wa ITV ni uandishi wa habari au nini!

Status
Not open for further replies.
This issue is so private, na nashangaa watu wanatoa comments as if wana uhakika na kilichoandikwa. Usikute amekukataa ukaamua kumuanika hapa,
Umenifurahisha mno hapo, mie nina tabia mbaya sana ya kutovamia (approach) mdada nisiemfahamu. Ungejaribu kuelewa thread yangu ina vitu vingapi ungeelewa.
 
Watu wengine bwana, kama alikukera ulishindwa nini kumwambia pale pale?! na hata kama ulimwambia unadhani kulikua na umuhimu gani kuleta hayo mambo yenu tena yasiyo na umuhimu hapa?!
 
Naona wapambe wake wanamtetea kwa nguvu zote wkt kaharibu
 
Watu wengine bwana, kama alikukera ulishindwa nini kumwambia pale pale?! na hata kama ulimwambia unadhani kulikua na umuhimu gani kuleta hayo mambo yenu tena yasiyo na umuhimu hapa?!
Chunguza thread ina maana gani ndio ujuwe umuhimu wa huyu dada.
 
Naona wapambe wake wanamtetea kwa nguvu zote wkt kaharibu
Tatizo lake hawaelewi thread ina maanisha nini! Wao wamejikita kwake tu. Tuwasamehe ila wanakiri moyoni na ujumbe watamfikishia kama yeye sio wanaJF.
 
Ofisi ya nani? Nani mwenyeji zaidi kati yako wewe na yeye? Je, ni public ofice kama bar ambapo TV ni ya wote? Sijaelewa mimi. Hata hivyo, mimi ninavyomjua, huyu dada ni mstaarabu sana. Sijaamini bado maelezo yako.
Hata sisi tulishangaa mno baada ya kuelezwa ni yeye na aliondoka bila kuaga baada ya laptop yake kujaa.
 
Jacobus

Mkuu tutaamini vipi kama hii ishu ni ya kweli??

Pili... Kama ni kweli sidhani kama ishu hii ina haja ya kulinganisha/kulink na profession ya mtu lol.

Kama mtabia wa mtu ni mbovu mbovu haijalishi anafanya kazi gani au ana status gani.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
DUH!!! mkuu mnakaa ofisini hadi saa mbili usiku?? au ndio kusema nyumbani hakuna TV inabidi kusubiria taarifa ya habari ofisini???

TV ipo boss, hakuna tu king'amua mawimbi lol. A.k.a kingamuzi

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mkuu Lokissa comment yako safi sana. A glass of wine for u pliz!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Naona maoni meeengi japo mwanzisha mada hakuna sehemu aliyoeleza kuwa hiyo ofisi waliyokuwemo ni ofisi ya nani, ina shughuli gani na taratibu za kazi zinasemaje. Au?
 

Aisee, Aisee yaani ulimuwacha wakati yeye ndo muchokozi?
 
Aisee, Aisee yaani ulimuwacha wakati yeye ndo muchokozi?
Japo alituudhi tulimsema lakini bado akawa mbishi na ndipo nilipochukuwa hatua ya kutoa charger yake kwenye switchsocket. Wewe ulitaka tumfanyeje?
 
Naona maoni meeengi japo mwanzisha mada hakuna sehemu aliyoeleza kuwa hiyo ofisi waliyokuwemo ni ofisi ya nani, ina shughuli gani na taratibu za kazi zinasemaje. Au?
Ofisi haihusiani na masuala ya habari vyovyote vile. Walipewa msaada wa kucharge tu vifaa vyao vya kazi na switchsocket zipo nyingi tu ofisini.
 
TV ipo boss, hakuna tu king'amua mawimbi lol. A.k.a kingamuzi

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Mikoani bado hii mambo ya king'amuzi na kuzimwa kwa dijitali haijashika hatamu...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…