Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,383
- 11,197
Huyu Dada yumo humuhumu JF na hana haja ya kukujibu kwa kuwa kuna kilichojificha zaidi hiz tuhuma unazompa kwani ulivyoichomoa Laptop yake ilijaa na akaondoka bila kuaga.Jumamosi tarehe 26/01/2013 nikiwa ofisini mida ya saa mbili usiku mie na jamaa zangu tukisubiri kusikiliza taarifa ya habari (StarTv) jamaa yetu mmoja akingia na watu watatu (mwanamke mmoja) Sikuvumilia na niliamka kwenda toa charger yake na kuwasha tv. Baadae mmoja wao akaniambia yule mdada ni Ufoo Saro wa ITV, tulishangaa sana kwa tabia hiyo na kujiuliza mbona busara hana
Hata sisi tulishangaa mno baada ya kuelezwa ni yeye na aliondoka bila kuaga baada ya laptop yake kujaa.
Japo alituudhi tulimsema lakini bado akawa mbishi nadipo nilipochukuwa hatua ya kutoa charger yake kwenye switchsocket.
Ofisi yako ina Computer au Laptop ambazo ndio umeandikia thread hii, sasa siamini km bado kuna mahali mnaweza angalia TV moja watu wote na umesema s/socket zimejaa, kwanini huyo aliyewaleta na wewe mwenyeji msimtafutie mgeni socket ingine, km sio mzoefu akajaza na kuondoka zakeNimeisha sema ofisi yangu haihusiani na masuala ya habari. Aliyewaleta ni mfanyakazi mwenzetu kuja ku'charge' vitendea kazi zao na walikuwa watatu, yeye wa ITV, wa Startv na Uhuru.
Ndiye yeye haswa na hata baada ya ku'charge' ka-laptop kake hakuaga.
Mimi naona kuna kitu kingine huyu Dada kakukosea hadi kumleta humu JF na ninaona umemuelewa ndivyo sivyo katika waandishi wa Habari yeye ni No. 1 na thread yake imo humuhumu mwache akafanye kazi nyingine lkn kukujibu kuhusu socket wakati Laptop ilijaaa nahakika wako wanaume wengine na hata waliomleta walimsaidia
fuatilia hiyo mojawapo ya Post nyingi za kumpongeza ufoo Saro
https://www.jamiiforums.com/tanzani...shi-wa-itv-aliyeko-na-msafara-wa-dr-slaa.html
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/178304-mtizameni-ufoo-saro-sasa.html