KIMIYAKIMIYA
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 244
- 321
Ndo hapo sasaKama chaja tu unambania, je mgeni akiomba chakula( ambacho binadamu akila ndani ya muda kidogo tu kinageuka kua MAVI) utampa kweli?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Chini kasema "uzi huo leta sindano tuwashone"kazi kweli kweliYaani mgeni wako kuomba chaja tu unakimbilia JF asubuhi hii kuanzisha uzi!
Nadhani wewe binafsi una matatizo makubwa zaidi ya huyu mgeni wako unayemlalamikia.
Si ajabu unahesabu hata kila tonge la ugali analopeleka kinywani mwake. Vitu vingine ambavyo ni trivial potezea brother!
Ndo hapo sasa
Mjadala wa kipuuzi kabisa huuUzi wa kipuuzi sana huu....JF ishaingiliwa na members wa Facebook... zamani tulikua tunatumia JF kama chanzo cha taarifa na maarifa muhimu,leo tunaingia JF tunakutana na mambo ambayo haya add value kabisa kwenye maisha yetu....inauma sana,ndio maana wengine tumehamia kwenye platform za kimataifa kama Tapatalk,Quora n.k maana huko tunaweza kujadiri mambo ya maana,au tukajifunza vitu vipya,...katika dunia ya leo ya kibepari ubongo unahtaji kulishwa na kujazwa maarifa na taarifa ambazo ni muhimu,....tuliifaidi sana JF miaka ya 2010-2015 lakini baada ya hapo wambea wa Insta, Facebook nao wamejiunga...sasa ukiingia tu unakutana na post ya "uume wangu mdogo,naweza kumridhisha?"like seriously!!.... nowadays we think very small,we are not great thinker any more.....lakini tutafanyaje sasa inabidi tuzoee!
Sent using Jamii Forums mobile app
JF ikiwa kila muda ina nyuzi ngumungumu na motomoto,members wataugua homa na maumivu ya kichwa.Patachosha.Waacheni na wengine watoe yao.Mjadala wa kipuuzi kabisa huu
Zipo hoja hata kama si ngumu ila zinajadilika sasa hii eti mgeni aje na charger kwako unajadili nini sasa hapoJF ikiwa kila muda ina nyuzi ngumungumu na motomoto,members wataugua homa na maumivu ya kichwa.Patachosha.Waacheni na wengine watoe yao.
Huzuni sana.HahahahahaaaZipo hoja hata kama si ngumu ila zinajadilika sasa hii eti mgeni aje na charger kwako unajadili nini sasa hapo
πππππNunua iphone huyo mgeni mwenye tecno hata kusumbua kabisa