Tabia hizi za wageni zinakera

Kazi kucheka Cheka tu mkeo [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa maada ana hoja, sema kuna mijitu inajifanya haielewi. Hiyo ndo inasumbua watu. Chaja ina uzito gani mpaka usibebe yako!!? Sasa mwenyeji wako anataka kuchaj nawe ndo unasema niazime chaja. Unajua atakosa dili ngapi kwa kutokuwepo hewani!!?
Karudi jioni toka kazini hivyo anacharge simu zake, asubuhi kazini sasa naye mgeni ambaye yupo zaidi na zaidi imekaaje hapo, unakuta mgeni simu yake kila wakati simu ipo kwenye moto halafu charge ya kuazima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida sana. Wanaompinga mleta mada hayajawahi kuwatokea. Au ile umeweka simu yako chaji ina asilimia 5 kutoka kidogo kurudi unakuta mgeni kachomoa chaji kachomeka kwake daah
Hapo sasa mwenyewe una mambo yako na tanesco wasivyo na hiyana ile unataka kuweka na wanabeba umeme wao, mie wageni wakuamka asubuhi asubuhi wana nikera balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii mada watu tu wameichukulia very negative, lakini ni very informative maana inakupa nafasi ya kujua ukiwa ugenini mambo gani ujirekebishe


Mi ananikera mgeni wa kuleta umbea wa huko atokako maana lazima achukue na ya hapo arudi nayo

Unasikia, mtoto wa flani, alifeli yule, alizungusha...tena unasimulia kwa bashasha mara flani anakusema kweli ni kama vile katumwa kuja kukuvuruga maana unaweza kujikuta unamchukia huyo uliyeambiwa anakusema

Nakereka balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daa nilikuwa nikipata mgeni moja mara kwa mara viatu vyake jamani utaomba shimo litokee ujifukie,
akivua koridoni jamani utasikia majirani huko mmmm wanavutoa nje aibu jamani!
Mgeni anaenuka viatu au jasho hua na mmaind kimoyo moyo sema ni vile tu nakosa namna ya kumwambia

ABCDEFGHIJKLMNOPQRSTUVWXYZ

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo wale mkipanga jirani kuazimana mpaka vijiko vya kulia chakula[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weee hujui tu, hiyo nayo kero simu zenyewe hizi mterezo chaji zinaisha fasta data ikitembea kuna vitu vya muhimu Unataka ufanye mgeni kaazima chaji, inakera, kujisemea kaka angu hapo juu chaji inauzito gani usibebe

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nipo ho, kwa harufu ya viatu unatamani shimo litokee ujifukie! Ww ushawahi kupita Vingunguti Machinjioni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahhahaha harufu hadi inaua panya
ABCDEFGHIJKLMNOPQRSTUVWXYZ
 
Mgeni si Mzazi wala ndugu wa tumbo moja Mara unasikia nipo stand nimefika nakuja kukusalimia njoo nichukue!! Anakaaa siku nyingi mara Nipe nauli unataka kuondoka upo Lindi kwao bukoba. Hii mitihani
 
1. Mgeni kutaka mkeshe sebuleni mkiongea wakati kesho yake unawahi job
2. Kung'ang'ania remote
3. Siku ya kuondoka kuacha kitanda hakijatandikwa / mashuka machafu
4. Mgeni kurudi usiku baada ya baba mwenye nyumba kurudi na kumpigia simu amfungulie geti
5. Kukaa bila kusaidia kazi (kama amekaa zaidi ya siku tatu /nne).
 
unampa shuka na kagodoro kadogo ka dharula (uwe nako standby) akija unampa ajistiri sebuleni pale chini...easy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…