madindigwa
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 2,488
- 2,904
unashauriwa ku-brush your teeth mara mbili per day, na pia ku-floss dailyEti nipige mswaki ndo nilale?? Huo muda nitaupata wapi? Kwani nimekula mavi? Kwanza dawa ya meno ni budget
Eti nipige mswaki ndo nilale?? Huo muda nitaupata wapi? Kwani nimekula mavi? Kwanza dawa ya meno ni budget
Nyie wawili mmenichekesha sanaHuu ni upuuzi yaani nioge kabla ya kulala halafu asubuhi nioge tena? hivi hii hali ya uchumi mnaichukuliaje au sabuni mnapewa bure uko kwenu?
hahaa hahaa ,.. kaazi kweli kweliHuu ni upuuzi yaani nioge kabla ya kulala halafu asubuhi nioge tena? hivi hii hali ya uchumi mnaichukuliaje au sabuni mnapewa bure uko kwenu?