Tabia nitakazoziacha baada ya kuoa

Tabia nitakazoziacha baada ya kuoa

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
1.Pombe-sitakubali mke wangu anikute na harufu ya pombe kitandani.

2.Magoma-ndo maana mademu zangu nawaambia kabisa me na mchumba nayetarajia kuishi naye hivyo wawe wapole

Natokea UWABATA ila nakuhakikishia my future wife kuwa nitapambana kuhakikisha naacha kodi ya nyumba kila siku 5000 na lazima nirudi na matunda si ndio!

Afu pia ni hivyi mjue me niko vyombo ujue naheshimika humu ndani na siogopeki Kanda ya kati.
 
1.pombe-sitakubali mke wangu anikute na harufu ya pombe kitandanu

2.magoma-ndo maana mademu zangu nawaambia kabisa me na mchumba nayetarajia kuishi naye hivyo wawe wapole

Natokea UWABATA ila nakuhakikishia my future wife kuwa ntapambana kuhakikisha Naacha Kodi ya nyumba kila siku 5000 na lzm nirudi na matunda si ndio!

Afu pia Ni hivyi mjue me Niko vyombo ujue naheshimika humu ndani na siogopeki Kanda ya kati.

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo wap?? Unaacha 5000 mahitaji yote yapo.... Plus mboga au

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nikioa mke wangu wa pili baada ya huyu wa sasa punyeto, nitajitahidi kumpangia ratiba ya mechi ya kitandani mara moja kwa wiki
 
Back
Top Bottom