Hahahaha we mlalamishi eeh πππ?Extro kwa jinsi nnavyokusoma humu comments zako haki tusingewezana[emoji23][emoji23]
Hata malalamiko ya kimahaba nayo hutaki???Hahahaha we mlalamishi eeh [emoji23][emoji23][emoji23]?
Ile design ya mbona napiga simu mara zote hupokei bebi? Kila siku nakuwish mimi tu mbona we hauniwish good night? Ina maana hujaona missed call zangu au?
Haaa hapo ujue mapema sana itabaki story!
Muziki mzuri tu maskioni hasa rnb and hiphop ila oldies ndio zinanibamba
Yakiwa mahaba ni full burudani ila isiwe mambo ya kushurutishana over stulpid matterxHata malalamiko ya kimahaba nayo hutaki???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bora uwe unalia kupunguza jazba zako na malalamishi lakini sio kumpa kero Mr wako kwa kumpa malalamiko yasiyoisha.Mimi ni mlalamishi lkn sio wale wanawake wa kupayuka payuka ovyo, kama kuna kitu kimenikwaza inaeza kua ata sio wewe lkn nitajilalamisha tu natafutaga tu ile namna niweze kutua mzigo lkn sio kwa namna ya kukera kwa kiwango hicho. Nikishindwa kabisa huwa nalia [emoji23][emoji23] maisha mengine yanaendelea.
Nyie wa kimya kimya kama moto wa mapumba ndio hatari.. bora wapayukaji wakimaliza kupayuka mnajua yamekwisha .. π huku unaweza kuhisi twas a small issue kumbe ukanuniwa miaka mitatu na nusu na hata hujui kama umenuniwa...Mimi ni mlalamishi lkn sio wale wanawake wa kupayuka payuka ovyo, kama kuna kitu kimenikwaza inaeza kua ata sio wewe lkn nitajilalamisha tu natafutaga tu ile namna niweze kutua mzigo lkn sio kwa namna ya kukera kwa kiwango hicho. Nikishindwa kabisa huwa nalia [emoji23][emoji23] maisha mengine yanaendelea.
π π π π eti wapayukajiNyie wa kimya kimya kama moto wa mapumba ndio hatari.. bora wapayukaji wakimaliza kupayuka mnajua yamekwisha .. π huku unaweza kuhisi twas a small issue kumbe ukanuniwa miaka mitatu na nusu na hata hujui kama umenuniwa...
Umekaa una raha yako simba imempiga mkulima wa mabondeni .. full magego nje (Kenyewe kamekuseti tu na hasira kwann una raha wakati ulikosea na hakaja kusamehe!?)
Aah basi tungewezanaYakiwa mahaba ni full burudani ila isiwe mambo ya kushurutishana over stulpid matterx
Mimi sio kama nakua mkimya naongea lakini pia sio mpiga makelele nipo kati...Nyie wa kimya kimya kama moto wa mapumba ndio hatari.. bora wapayukaji wakimaliza kupayuka mnajua yamekwisha .. π huku unaweza kuhisi twas a small issue kumbe ukanuniwa miaka mitatu na nusu na hata hujui kama umenuniwa...
Umekaa una raha yako simba imempiga mkulima wa mabondeni .. full magego nje (Kenyewe kamekuseti tu na hasira kwann una raha wakati ulikosea na hakaja kusamehe!?)
Mhhh!! sio bure, wee wahuni walishapita na rinda lako.kujamba kwa nguvu sitaacha kamweee
Clit Rubbing....hii mada inahusu hata wanandoa?
π€£π€£π€£π€£Huwa nasoma comments tyuuh.
daahKwenda kunywa pombe usiku huku namsikiliza mwanangu Ferre Gola 'Vita imana' bila kumsahau Fally ipupa' a flye' dah mke wangu utanisamehe ila sitakusaliti.
ayaahKuchat na zaddy daddy wangu
just imagine hii "damn" imenifikisha ClimaxDamn...
π€£π€£π€£just imagine hii "damn" imenifikisha Climax